Political Jurist
Senior Member
- Sep 6, 2021
- 143
- 120
NEMC TUNAWAPA MAUA YENU.
Pongezi nyingi saana kwa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa hatua kubwa na nzuri walioanza ya kushughulika na Uchafuzi wa Mazingira hususani Kelele na Mitetemo inayotolewa na Wamiliki wa Nyumba za Starehe.
Ni vigumu watu kuelewa hususani kwa wale ambao hawaishi jirani na maeneo hayo ,kumekuwa na kero kubwa sana ,watoto/wanafunzi kushindwa kujisomea usiku ,imekuwa kero kwa wale wenye wagonjwa kukosa Muda wa kupumzika ,kelele zile zinaongeza uchovu kwani watu watokapo makazini wanakosa au kushindwa kupumzika ,kelele pia zimekuwa changamoto kwa wale wenye matatizo ya Moyo lakini pia kelele hizi zikiachwa zitakuwa na madhara ya Muda mrefu ikiwemo Matatizo ya Masikio na Magonjwa ya Moyo.
NEMC mmeonesha njia ,kumbe watu wanaweza burudika bila kuwakwaza wengine ,Nchi ni yetu sote na ustaarabu ndio jadi yetu ,naamini kuanzia sasa kutakuwa na ustaarabu.
NEMC tunawatia moyo ,simamieni Sheria bila kumuonea mtu ,Burudani na Biashara zifanyike kwa ustaarabu bila kuleta madhara kwenye Afya ya Jamii yetu .Na ili Taifa liwe na maendeleo endelevu linahitaji jamii ya watu wenye afya njema.
Kazi nzuri NEMC tunawapa Maua yenu.
#MazingiraYetu
#UhaiWetu.
Pongezi nyingi saana kwa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa hatua kubwa na nzuri walioanza ya kushughulika na Uchafuzi wa Mazingira hususani Kelele na Mitetemo inayotolewa na Wamiliki wa Nyumba za Starehe.
Ni vigumu watu kuelewa hususani kwa wale ambao hawaishi jirani na maeneo hayo ,kumekuwa na kero kubwa sana ,watoto/wanafunzi kushindwa kujisomea usiku ,imekuwa kero kwa wale wenye wagonjwa kukosa Muda wa kupumzika ,kelele zile zinaongeza uchovu kwani watu watokapo makazini wanakosa au kushindwa kupumzika ,kelele pia zimekuwa changamoto kwa wale wenye matatizo ya Moyo lakini pia kelele hizi zikiachwa zitakuwa na madhara ya Muda mrefu ikiwemo Matatizo ya Masikio na Magonjwa ya Moyo.
NEMC mmeonesha njia ,kumbe watu wanaweza burudika bila kuwakwaza wengine ,Nchi ni yetu sote na ustaarabu ndio jadi yetu ,naamini kuanzia sasa kutakuwa na ustaarabu.
NEMC tunawatia moyo ,simamieni Sheria bila kumuonea mtu ,Burudani na Biashara zifanyike kwa ustaarabu bila kuleta madhara kwenye Afya ya Jamii yetu .Na ili Taifa liwe na maendeleo endelevu linahitaji jamii ya watu wenye afya njema.
Kazi nzuri NEMC tunawapa Maua yenu.
#MazingiraYetu
#UhaiWetu.