LGE2024 Nenda kajiandikishe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Umejiandikisha kweli??? Mbona hakihitajiki chochote zaidi ya majina matatu na umri....
Tayari. Nimejiandikisha. Nasubiri siku ya kuchagua kiongozi nitakaye muona anafaa.
 
Wekeni digital nitapiga kura.

MARA YA MWISHO 1995....kwa Hayati Mkapa,baada ya hapo sifanyi ujinga huo

WIZI MTUPU.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa uelewa na ufahamu😥
 
Reactions: o_2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…