Neno gani la kwanza utamwambia ukikutana nae!!!!!??????????

Neno gani la kwanza utamwambia ukikutana nae!!!!!??????????

NewDawnTz

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
1,667
Reaction score
362
Ghafla unaingia mtaa fulani alafu uso kwa uso jicho lako na lake linagongana na unagudnua mko wa wawili tu!!!

Ni neno gani utamwambia???


pavwife.jpg
 
Ha ha senksi kwa kunielewa wanaraha yao wale nao



Ray B, kama umeshaoa kama mimi usiwajaeribu hawa. Walahi unaweza ukasahau njia ya kurudi kwako.

Hivi vikabila vya chini chini visivyosikika hivi, we acha tu!!!!!!!!!!!!!
 
Nitamwambia ivi, nimpeleke nyumbani kwangu akavae na kupumzika kidogo wakati wife hayupo, si atakubali jamani? tena kwenye kitanda cha teremka tukaze!!
 
Nitamwambia naomba...,akininyima nitamwuliza unauza bei gani?

Haaaahaaa akitaja in terms of UsDollar na ndio kidume umejaza mikaratasi yako mfukoni utafanyeje? wee mwimbie tu ule wimbo...ya nini malumbano, ya nini maneno, najiweka pembeni naepusha msongamanooooooo!!
 
ntamwambia we mzuri.. ila humfikii mke wangu hata chembe!
 
Back
Top Bottom