Ray B, kama umeshaoa kama mimi usiwajaeribu hawa. Walahi unaweza ukasahau njia ya kurudi kwako.
Hivi vikabila vya chini chini visivyosikika hivi, we acha tu!!!!!!!!!!!!!
Haaaahaaa akitaja in terms of UsDollar na ndio kidume umejaza mikaratasi yako mfukoni utafanyeje? wee mwimbie tu ule wimbo...ya nini malumbano, ya nini maneno, najiweka pembeni naepusha msongamanooooooo!!