Neno gani ulimwambia mpenzi wako baada ya kuachana?

Vipi yametimia aliyosema
 
Teh teh teh
 
We saa hizi unaonaje hali?
 
mimi huwa sina neno nauchuna(ga) tu ili siku nikiwa na genye nirudi

mmoja aliniavha kwa sababu ya kumkumbushia sana kosa flani, now ameolewa ana maisha yake na kazi nzuri kuliko mimi. na huwa ananitext kunipa msaada ila nakauka kama simjui maana nahisi huwa ananibeza kimtindo.(najuta kuachana nae)
 
wengi huwa tunamalizana juu kwaju...ila mmoja tu nielimpenda kwa zati nimwambia....kwa kuwa hujawahi kunitamkia hutaki mawasiliano na mimi naamini nimekukwaza lakini halikuwa lengo langu, nilikuwa natania tu, natamani ningepata nafasi ya kuomba msamaha lakini ndio nikwishachelewa ...kila raheli!!
 
Huku naona nimepotea! Huku ni jamiiforum jukwaa la mapenzi au....? Ngoja nirudi mwanzo kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…