Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Aghalabu imekuwa ni kawaida sana kwa watumiaji wa simu za kikononi kupokea ujumbe "HONGERA" sehemu isipostahili kwa mfano;
1, Ukijiunga kifurushi cha kupiga simu utapokea neno "Hongera umefanikiwa kujiunga minikabang" sasa hongera inakujaje na sijaungwa kwa bahati mbaya wala bahati nasibu?
2, Makampuni ya kubet sasa ndio imekuwa kero kupita maelezo na sijajua huyo anayewapa namba zetu ni nani ? Utaona mesegi "Hongera namba yako imechaguliwa kucheza DAKAPESA jaribu bahati yako" Yani kunitapeli mnatoa hongera?
Watanzania na mitandao ya simu tupende kujiongeza sio kila neno linalotafsirika kiingereza linapaswa kutumika kila mahala toeni hongera mtu akishinda bahati nasibu msitoe hongera mtu akinunua bidhaa zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
1, Ukijiunga kifurushi cha kupiga simu utapokea neno "Hongera umefanikiwa kujiunga minikabang" sasa hongera inakujaje na sijaungwa kwa bahati mbaya wala bahati nasibu?
2, Makampuni ya kubet sasa ndio imekuwa kero kupita maelezo na sijajua huyo anayewapa namba zetu ni nani ? Utaona mesegi "Hongera namba yako imechaguliwa kucheza DAKAPESA jaribu bahati yako" Yani kunitapeli mnatoa hongera?
Watanzania na mitandao ya simu tupende kujiongeza sio kila neno linalotafsirika kiingereza linapaswa kutumika kila mahala toeni hongera mtu akishinda bahati nasibu msitoe hongera mtu akinunua bidhaa zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app