Kwa ulewa wangu inc kirefu chake ni incorporated.
Ni utaratibu wa kisheria ambao unaifanya kampuni kuwa na mali zake.
Yaani huu ni utaratibu unaotafautisha mali za wawekezaji na mali za kampuni.
Hivyo basi linapokuja swala la tax basi pesa za wawekezaji hazitoguswa isipokuwa faida ya kampuni ndio itakatwa kodi.
Mfano kampuni ikiwa ina deni kubwa kiasi cha kufilisika basi mali za kampuni ndizo zitahusika na sio pesa za wawekezaji.
Incorporated companied huwa zina utaratibu wa kuuza shares na wamiliki wanakuwa wengi na kampuni inaweza ikaendelea tu hata kama muanzilishi amekufa au ameuza shares.
Pia inc companies huwa na body of directors ambao ndio shareholders wenye nguvu ya kufanya maamuzi mfano kuajili ceo nk.