Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Sasa,dini "yao" si ya kwanza kuja duniani, iweje umtungie mtu tusi/jina wakati kitu chako hakikuwepo na wala hakikujulikana hapo awali?Na hata unayemuita "kaffir" hajui na hana mpango wa kujua jambo lako?Labda kuwa kinyume na dini yao.
Google wanaandika kiingerezaUmeGoogle kabla ya kuamua kujaza server umu jamaa
Na hawa wanaoita watu weusi kafirs?Labda kuwa kinyume na dini yao.
Na ukitafsiri vinakuja vitu vya kuchekesha.Google wanaandika kiingereza
Wazee wa kubazi wana majibu sahihi.Wakuu. Hili neno maana yake nini? Waislamu hulitumia kuwaita wale wasio waislamu, kama kusema mpagani. Lakini pia huko South Africa wazungu wabaguzi wa rangi huwaita weusi Kafirs, kama vile wamarekani kuita weusi Nigger. Kafir maana yake nini? Kafir ni mtu gani?
Tushushie ma-economics leo tujifunzeKama unauelewa kidogo tu wa economics hiyo point ya mauzo ya kitimoto kupungua kipindi cha Ramadan hata isingekupa tabu.
Sijataja Ramadan wala Kwaresma, usiniwekee ujinga uliojijazia kwenye fuvu lako...[emoji57]Kama unauelewa kidogo tu wa economics hiyo point ya mauzo ya kitimoto kupungua kipindi cha Ramadan hata isingekupa tabu.
Umejipangaje kwa mvua za matusi toka kwa Watu "X" Ndugu yangu [emoji848][emoji16]Wakuu nina swali nje ya mada. Je kuna uhusiano gani kati ya Ufundi Radio, TV, Fridge, AC na uislamu sababu sijawahi kukutana na fundi mkristo wa vitu tajwa hapo juu.
sina maana ya udini ila ningependa kujua uhusiano wa hivyo vituUmejipangaje kwa mvua za matusi toka kwa Watu "X" Ndugu yangu [emoji848][emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tanza-nia tunalitumia kwa wale Pro -ccmWakuu. Hili neno maana yake nini? Waislamu hulitumia kuwaita wale wasio waislamu, kama kusema mpagani. Lakini pia huko South Africa wazungu wabaguzi wa rangi huwaita weusi Kafirs, kama vile wamarekani kuita weusi Nigger. Kafir maana yake nini? Kafir ni mtu gani?
Kumbe Watu "X" ni udini? Kwaheri.sina maana ya udini ila ningependa kujua uhusiano wa hivyo vitu
BadoBado tu hujaelewa maanake?
Alienijazia gas kwenye friji langu la kwanza alikuwa muumini wa kwa baba godi mfalme. Kibanda chake kilikuwa kimeandikwa Fundy FregWakuu nina swali nje ya mada. Je kuna uhusiano gani kati ya Ufundi Radio, TV, Fridge, AC na uislamu sababu sijawahi kukutana na fundi mkristo wa vitu tajwa hapo juu.
Itabidi mnilipe hata aftatu niandae slides kadhaaTushushie ma-economics leo tujifunze