Neno kafiri maana yake nini?

1. Kwenye lugha;
Kafiri kwa lugha ya kiarabu ni mtu mwenye kugeuza, kwa mfano mkulima akigeuza ardhi ataitwa kafiri.
2. Kwenye imani;
Mtu yeyote mwenye kumpinga Allah anahesabika ni kafiri.
Hilo la huko bondeni sina ujuzi nalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…