Ngai Moko JF-Expert Member Joined Mar 21, 2016 Posts 1,301 Reaction score 1,738 Jan 6, 2023 #21 1. Kwenye lugha; Kafiri kwa lugha ya kiarabu ni mtu mwenye kugeuza, kwa mfano mkulima akigeuza ardhi ataitwa kafiri. 2. Kwenye imani; Mtu yeyote mwenye kumpinga Allah anahesabika ni kafiri. Hilo la huko bondeni sina ujuzi nalo
1. Kwenye lugha; Kafiri kwa lugha ya kiarabu ni mtu mwenye kugeuza, kwa mfano mkulima akigeuza ardhi ataitwa kafiri. 2. Kwenye imani; Mtu yeyote mwenye kumpinga Allah anahesabika ni kafiri. Hilo la huko bondeni sina ujuzi nalo