The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Uzi bila picha ni sawa na chai bila sukari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sheria gani?Atakaye bainika kupotosha Mabango yenye misamiati ya kiswahili ya BAKITA Jela miaka 3 au faini ya milioni 5 ama vyote kwa pamoja.
Basi wasanii wengi watapotea mtaani, kwamfano yule Hakunaga...Kwa mfano neno ''KOLO'' ambalo wingi wake ni ''MAKOLO'' badala ya kusema linamaanisha shabiki yeyote wa timu ya Simba SC, uje useme vinginevyo
Hapo unakuwa tayari umebatilisha tafsiri ya neno ''Kolo'' au ''Makolo''
Ila bado najiuliza watatumia askari gani kuwakamata wahusika, nilisikia NEMC wanashindwa kazi kwasababu hawana jeshi, sasa BAKITA itakuwaje?Kwa mfano neno ''KOLO'' ambalo wingi wake ni ''MAKOLO'' badala ya kusema linamaanisha shabiki yeyote wa timu ya Simba SC, uje useme vinginevyo
Hapo unakuwa tayari umebatilisha tafsiri ya neno ''Kolo'' au ''Makolo''
Mfano neno KOLO Ukiliandika kwenye bango kama limetolewa na BAKITA hivyo utapigwa faini ya milioni 5 au jela miaka mitatu au vyote kwa pamoja.Toa mfano
Imetolewa na BAKITAKwa sheria gani?
Source pls!
Hapa tulio kuwa tukiongea kinyakyusa shuleni tunapata shida kukuelewa.Bujibuji ni fanani kwenye fani ya mkolofani
Vuteni bangi ya Mwakaleli ina load kamusiya Bakita a Oxford fastaHapa tulio kuwa tukiongea kinyakyusa shuleni tunapata shida kukuelewa.
🤣🤣🤣 Mbona tunaambiwa tukila ndizi na parachichi kwa wingi eti akili inakuwa Fasta kama mtu aliye soma HavardVuteni bangi ya Mwakaleli ina load kamusiya Bakita a Oxford fasta
Hahahahahah😂😂😂😂😂😂kipwipwi, na wakiwa wengi vipwipwi
Kumbe nawewe ni KOLO? [emoji23]