Neno ‘KONGOLE’, hivi lilikuwepo kweli? Historia yake na nani amelitunga ?

Neno ‘KONGOLE’, hivi lilikuwepo kweli? Historia yake na nani amelitunga ?

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
3,644
Reaction score
4,315
Ukitaka kuandika hongera baadhi ya keyboard zinakupakazia eti kongole!

Kongole wich, who are you kongole? are you normal?🤷‍♂️

Je ni kutohoa congratulations au ni nini?

Kwani kiswahili lini kilikosa, au kilikuwa na upungufu wa misamiati ya kupongeza? Hongera ilikuwa wapi.

Tuna upungufu wa maneno mengi tu sio hongera mfano maneno mbadala ya like na love kwetu hakuna. Kuna neno moja tu kupenda. Inasababisha utamaduni wetu kushindwa kutofautisha kupenda vitu na wapendwa wetu. Hadi mapenzi yanapoteza thamani.

Tafuteni hayo maneno sio kongole☹. Au ni vile machawa wamesifia hadi wakaishiwa maneno ndio wakaamua kuongeza misamiati ya ajabu ajabu kama hongera.

Hili nalo mkalichunguze

Nb: leo nimewapruvia kuwa unaweza kuwa na makasiriko na kitu chochote, hata vitu vidogo kama neno la kutungwa la nasibu tu kama kongole🤣. Ila siriazi kongole ni baya bhanaa🤔
 
Kumbe hata maana yake sio hongera ni vitu vingine kabisa. Sasa ndo nini?
Screenshot_20230215-201322_Chrome.jpg
 
Ukitaka kuandika hongera baadhi ya keyboard zinakupakazia eti kongole!

Kongole wich, who are you kongole? are you normal?🤷‍♂️

Je ni kutohoa congratulations au ni nini?

Kwani kiswahili lini kilikosa, au kilikuwa na upungufu wa misamiati ya kupongeza? Hongera ilikuwa wapi.

Tuna upungufu wa maneno mengi tu sio hongera mfano maneno mbadala ya like na love kwetu hakuna. Kuna neno moja tu kupenda. Inasababisha utamaduni wetu kushindwa kutofautisha kupenda vitu na wapendwa wetu. Hadi mapenzi yanapoteza thamani.

Tafuteni hayo maneno sio kongole☹. Au ni vile machawa wamesifia hadi wakaishiwa maneno ndio wakaamua kuongeza misamiati ya ajabu ajabu kama hongera.

Hili nalo mkalichunguze

Nb: leo nimewapruvia kuwa unaweza kuwa na makasiriko na kitu chochote, hata vitu vidogo kama neno la kutungwa la nasibu tu kama kongole🤣. Ila siriazi kongole ni baya bhanaa🤔
Radio stations wamelikomalia hilo neno hadi kero
 
Mimi najua hilo neno lilianza kupewa air time sana humu Jamiiforums, na mtu aliyekuja nalo na kuli publish sana humu ni GENTAMYCINE ndiye alikua akilitumia sana hadi likaanza kuzoeleka na kuanza kutumika hata huko mitaani
Nadhani ni msamiati wa Kabudi alipoonjeshwa dawa ya Madagascar alisema kongole kwa aliyemtuma
 
Back
Top Bottom