Neno 'kudanga' linatumika kuhalalisha ukahaba, ni kujiuza tu tusichekelee huku jamii ikiharibikiwa

Neno 'kudanga' linatumika kuhalalisha ukahaba, ni kujiuza tu tusichekelee huku jamii ikiharibikiwa

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Ndugu zangu!

Jamii inahitaji kuamshwa kwa kuambiwa ukweli. Waharifu nao hawajabatizwa, kila siku wapo kazini kubuni mbinu mpya za uharibifu.

Sijui limetokea wapi, wala sijui kama ni kiswahili sanifu. Kudanga limeshika kasi mno, na limekuwa rahisi kutumika na rika zote bila ukakasi.

Lakini maana yake inabaki pale pale, kudanga ni KUJIUZA. Ni kujiuza kulikochangamka, ni rahisi kusikia watu (wanawake) wakitamba hadharani kuwa wanaenda kudanga sehemu fulani.

Jamii inapotoshwa na tukikaa kimya tutarajie kizazi cha hovyo sana kuanzia hiki na huko mbele. Waharifu wamefanikiwa kupitisha kirahisi msemo wao wenye nia ovu, tukizubaa tumekwisha.

Saini 'petition' hii kama unakereka na udangaji unaohalalishwa kwenye jamii yetu.

Ncha Kali.
 
Tumia hili neno.

"MALAYA WANAOUZA MIILI YAO" wameamua kujibatiza na kujiita "wadangani" na mabosi wao wanawaita "madanga"

Kifupi ukifanywa kwa makubaliano ya kulipwa hela au kusaidiwa maisha haijalishi unafanyia wapi tambua wewe ni MALAYA tu anayeuza U**I na hauna tofauti na wale wanaokipanga barabarani. Kifupi unadhalilisha utu wako na kuabishana jamii yako, baba na mama zako, watoto na wadogo zako, na nchi yako kama kijana inayekutegemea kulijenga Taifa kwa manufaa ya vizazi na vizazi.
 
Ndugu zangu!

Jamii inahitaji kuamshwa kwa kuambiwa ukweli. Waharifu nao hawajabatizwa, kila siku wapo kazini kubuni mbinu mpya za uharibifu.

Sijui limetokea wapi, wala sijui kama ni kiswahili sanifu. Kudanga limeshika kasi mno, na limekuwa rahisi kutumika na rika zote bila ukakasi.

Lakini maana yake inabaki pale pale, kudanga ni KUJIUZA. Ni kujiuza kulikochangamka, ni rahisi kusikia watu (wanawake) wakitamba hadharani kuwa wanaenda kudanga sehemu fulani.

Jamii inapotoshwa na tukikaa kimya tutarajie kizazi cha hovyo sana kuanzia hiki na huko mbele. Waharifu wamefanikiwa kupitisha kirahisi msemo wao wenye nia ovu, tukizubaa tumekwisha.

Saini 'petition' hii kama unakereka na udangaji unaohalalishwa kwenye jamii yetu.

Ncha Kali.
Hakuna maendeleo ngazi ya mtu binafsi pasina MAADILI....

Wapo watakaodharau maadili ya JAMII ZETU na kuona tunajichelewesha....ila watetezi wa maadili si WAJINGA....wamepokea mafundisho ya SIMULIZI kwa kuzisoma nyendo za maisha ya mwanadamu.....

Maadili ni KANUNI ZA USALAMA WA mtu binafsi na wanaomzunguka.....

KUDANGA NI UKOSEFU WA MAADILI....
 
Jingine ni KWA MPALANGE, yaani hadi mitoto ya kiume hapa dar inadai kupelekwa kwa mpalange! Kwa Mpalange limehalalisha ushoga na ufilaji live bila chenga na watu wapo proud kulitumia free kabisa huku mtaani
 
Jingine ni KWA MPALANGE, yaani hadi mitoto ya kiume hapa dar inadai kupelekwa kwa mpalange! Kwa Mpalange limehalalisha ushoga na ufilaji live bila chenga na watu wapo proud kulitumia free kabisa huku mtaani
Hakika.....

Maadili mabovu kufikia vijana wenzangu kuongea hayo hata HADHARANI kwenye mkusanyiko wa RIKA TOFAUTI.....
 
Jingine ni KWA MPALANGE, yaani hadi mitoto ya kiume hapa dar inadai kupelekwa kwa mpalange! Kwa Mpalange limehalalisha ushoga na ufilaji live bila chenga na watu wapo proud kulitumia free kabisa huku mtaani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
kabisa nakuunga mkono hawa malaya wameleta neno 'kudanga' ili kupunguza makali ya HIV, sorry, makali ya umalaya ila ukweli uko palepale, wadangaji = MAKAHABA, wauzaji kama wauzaji wengine
 
Ndugu zangu!

Jamii inahitaji kuamshwa kwa kuambiwa ukweli. Waharifu nao hawajabatizwa, kila siku wapo kazini kubuni mbinu mpya za uharibifu.

Sijui limetokea wapi, wala sijui kama ni kiswahili sanifu. Kudanga limeshika kasi mno, na limekuwa rahisi kutumika na rika zote bila ukakasi.

Lakini maana yake inabaki pale pale, kudanga ni KUJIUZA. Ni kujiuza kulikochangamka, ni rahisi kusikia watu (wanawake) wakitamba hadharani kuwa wanaenda kudanga sehemu fulani.

Jamii inapotoshwa na tukikaa kimya tutarajie kizazi cha hovyo sana kuanzia hiki na huko mbele. Waharifu wamefanikiwa kupitisha kirahisi msemo wao wenye nia ovu, tukizubaa tumekwisha.

Saini 'petition' hii kama unakereka na udangaji unaohalalishwa kwenye jamii yetu.

Ncha Kali.
Waache wajiuze kwani wanasaidia madoko zege na ubakaji, kwa buku 3 mpaka 5 unakula mzigo na hakuna kutuma nauli halafu unazimiwa simu
 
Back
Top Bottom