Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Kwa hio mnataka mpewe tundu bure bila kulipia ?
Hivi mim ninaathirika na nini iwapo watu wawili watakubaliana kwenda kukutanisha miili yao pasi mimi kujua chochote ?
Hivi hilo dume linalonunua k likiikosa lipeleka wapi miny##ge yake?
Je wanyama wetu,watoto,wetu, vijana wetu wake zetu hawatadhuliwa na hilo nye##ge kumshindo? Halitabaka watoto wetu?
Binafasi naona bora wanunuane huko kuliko kuwinda watoto wetu mtaani.
Je mmepima athari ya kutokuwepo wadanganyi? Mtavumolia madhara ya hao madanga mtaani. Mnakumbuka jinsi ubakaji ulivyokuwa miaka ya nyuma?
Why do we want to force an ideal ethics which do not exist anywhere on earth except heaven?
Kama moto upo, hao madanga si watachomwa moto wa milele, kwa nini tuumie wakati kuna moto unawasubiri , moto si uliwekwa kwa sababu ya wakaidi ?
Plato aliwahi sema maadili ya hapa si maadili ya kule.Hii ina maana kwamba maadili yako si maadili yangu
Hivi mim ninaathirika na nini iwapo watu wawili watakubaliana kwenda kukutanisha miili yao pasi mimi kujua chochote ?
Hivi hilo dume linalonunua k likiikosa lipeleka wapi miny##ge yake?
Je wanyama wetu,watoto,wetu, vijana wetu wake zetu hawatadhuliwa na hilo nye##ge kumshindo? Halitabaka watoto wetu?
Binafasi naona bora wanunuane huko kuliko kuwinda watoto wetu mtaani.
Je mmepima athari ya kutokuwepo wadanganyi? Mtavumolia madhara ya hao madanga mtaani. Mnakumbuka jinsi ubakaji ulivyokuwa miaka ya nyuma?
Why do we want to force an ideal ethics which do not exist anywhere on earth except heaven?
Kama moto upo, hao madanga si watachomwa moto wa milele, kwa nini tuumie wakati kuna moto unawasubiri , moto si uliwekwa kwa sababu ya wakaidi ?
Plato aliwahi sema maadili ya hapa si maadili ya kule.Hii ina maana kwamba maadili yako si maadili yangu