siendi naye .wewe ndio maana nikakuuliza unajua kilichotokea pala kalvari? kuna mtu pale alipata zali akaenda kwa mungu baba ..sasa mimi ni mmoja wa watu wenye mazali kama yale
Mimi Ivuga ndo kanimaliza,yaani alivyopindisha na kuchakachua post ya Gaga,mmmhh Ivuga we mwisho wa njia kama ni barabara we ni Chalinze- Tanga!
Gaga ahsante mama tutafuata ushauri.