Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,970
- Thread starter
- #21
siendi naye .wewe ndio maana nikakuuliza unajua kilichotokea pala kalvari? kuna mtu pale alipata zali akaenda kwa mungu baba ..sasa mimi ni mmoja wa watu wenye mazali kama yale
Haya we subiri zari wenzio wanatengeneza njia zao mapemaaaaa