Habari na pole na majukumu ya kila siku.
Najua hakuna aliyewahi kukuambia na kama yupo Mimi nakuwa wa ziada kukuambia leo kwamba "NAJIVUNIA WEWE"
Pengine maisha yanakupitisha katika vipindi vigumu ambavyo huwezi hata eleza mbele za watu, lakini unajitahidi kukabiliana nayo kwa hicho kidogo upatacho na maisha yanaenda.
"USIKATE TAMAA"
#KEEPMOVING
#BetterDaysAreComing
Najua hakuna aliyewahi kukuambia na kama yupo Mimi nakuwa wa ziada kukuambia leo kwamba "NAJIVUNIA WEWE"
Pengine maisha yanakupitisha katika vipindi vigumu ambavyo huwezi hata eleza mbele za watu, lakini unajitahidi kukabiliana nayo kwa hicho kidogo upatacho na maisha yanaenda.
"USIKATE TAMAA"
#KEEPMOVING
#BetterDaysAreComing