Zab 119:105 SUV
Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.
Mit 16:1 SUV
Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu; Bali jawabu la ulimi hutoka kwa BWANA.
Mit 14:12 SUV
Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.
Mit 8:17 SUV
Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.
π€π»π€π»π€π»π€π»π€π»π€π»π€π»π€π»π€π»
Mungu wa Mbinguni akubariki sana, nenda Kanisani
Ukitoka kanisani njoo niambie ulichojifunza.
=======+++=
Nakupenda sana ndio maana nakukumbusha Neno la Mungu