Neno la leo

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644

Zab 119:105 SUV​

Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.

Mit 16:1 SUV​

Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu; Bali jawabu la ulimi hutoka kwa BWANA.

Mit 14:12 SUV​

Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.

Mit 8:17 SUV​

Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.

🀝🏻🀝🏻🀝🏻🀝🏻🀝🏻🀝🏻🀝🏻🀝🏻🀝🏻

Mungu wa Mbinguni akubariki sana, nenda Kanisani

Ukitoka kanisani njoo niambie ulichojifunza.

=======+++=
Nakupenda sana ndio maana nakukumbusha Neno la Mungu
 

Attachments

  • 20230709_065056.jpg
    125.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…