Mkataa pema pabaya panamwitaKwa kiswahili lina maana gani?
Hahahaha, watajitetea kuwa vipindi hivyo ilikuwa mwiko nyuma!😂Imani hizi 😂🤣
Hao daima mbele si kuna misimu walikuwa pangu pakavu tia mchuzi.
Ubwabwa Ubwela 🥺Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi.
Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.
ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.
Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.
NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi
Ujinga mtupu. Hizo imani za kijinga ndizo zinawachelewesha maendeleo.Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi.
Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.
ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.
Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.
NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi
Picha haionekani vizuri mkuu
Kwanini Yanga wasianzishe msemo wao kama ..."supu tiketi au mtaingia fungulia mbwa"...?Ubwabwa Ubwela 🥺
Sio SANDA tenaaa.....tunahamia kwenye UBAYA UBWELA?Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi.
Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.
ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.
Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.
NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi
Nimeshagundua na wewe una jina tataUjinga mtupu. Hizo imani za kijinga ndizo zinawachelewesha maendeleo.
Kuna jirani hapa watoto wake wawili wanaitwa Shida ambae ni wa kike na wa kiume Masumbuko lakini anamiliki ukwasi mkubwa sana.
Wa kike nimesoma naye ni good life mwanzo mwisho.