Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi.
Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.
ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.
Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.
NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi
Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.
ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.
Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.
NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi