Neno la ubaya ubwela halina baraka

Neno la ubaya ubwela halina baraka

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi.

Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.

ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.

Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.

NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi
 
63eeb2dc-a364-4b21-8b96-0bd9a8406841.jpeg
 
Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi.

Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.

ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.

Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.

NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi
Ubwabwa Ubwela 🥺
 
Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi.

Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.

ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.

Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.

NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi
Ujinga mtupu. Hizo imani za kijinga ndizo zinawachelewesha maendeleo.

Kuna jirani hapa watoto wake wawili wanaitwa Shida ambae ni wa kike na wa kiume Masumbuko lakini anamiliki ukwasi mkubwa sana.

Wa kike nimesoma naye ni good life mwanzo mwisho.
 
Tuwe tunatafuta maneno na majina yatakayotuletea Baraka na sio mikosi.

Nawamba Viongozi wetu wa Simba mnapotafuta Maneno basi tafuteni yale yatakayoleta Baraka.

ACHENI KUDANGANYWA NA WAZARAMO. AU MLIMUOMBA YULE MZEE WA YANGA(MAGOTI) AWAPE MSEMO.

Angalieni wenzetu wa DAIMA MBELE na hakika wamekuwa mbele kwa kila kitu.

NB
Tuache kuita watoto wetu:
1. Shida
2. Tabu
3. Masumbuko
4. Nyege
5. Mazoea
6. Majanga
7. Haolewi
Sio SANDA tenaaa.....tunahamia kwenye UBAYA UBWELA?
 
Ujinga mtupu. Hizo imani za kijinga ndizo zinawachelewesha maendeleo.

Kuna jirani hapa watoto wake wawili wanaitwa Shida ambae ni wa kike na wa kiume Masumbuko lakini anamiliki ukwasi mkubwa sana.

Wa kike nimesoma naye ni good life mwanzo mwisho.
Nimeshagundua na wewe una jina tata
 
Back
Top Bottom