GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Umeingia kwa 'Pupa' sana katika Vita ya Kusajili ila umesahau kuwa unazungukwa na 'Chawa' wengi wa Simba na Yanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina Mkuu. Kabla ya huku ( huko ) Kukurupuka Kwake Tajiri Yusuf Bakhressa alitakiwa Kwanza afyagie 85% ya Watendaji wake wote pale Azam FC kwani hao ndiyo Siku zote wanamuangusha na wanaiangusha Azam FC ambao leo hii GENTAMYCINE nakiri hapa kuwa kama isingekuwa na Uyanga na Usimba ingekuwa Bingwa kila mwaka kwani ina vitu karibia vyote vya kuipa Mafanikio hayo ila Azam FC imekubali Uswahili ulioko Simba na Yanga utamalaki Kwao.Uishi miaka mingi Genta. Bora kama umeliona hilo
Mpumbavu kama Wewe kamwe huwezi Kunielewa hivyo nakushauri tu tulia uwasome wale 'geniuses' walionielewa Oky?Ungefafanua zaidi. Hapo ulichosema bado hakieleweki
Wamejazana sana Azam FC na ndiyo Kikwazo cha Azam FC kutofanya vyema kila Msimu katika Ligi Kuu na Kimataifa pia.
Chawa Wa Simba Na Yanga
Wamechonga Mzinga Wanalamba Asali Ya AzamWamejazana sana Azam FC na ndiyo Kikwazo cha Azam FC kutofanya vyema kila Msimu katika Ligi Kuu na Kimataifa pia.
Kwa comment yako hii nadhani hata wengine watajua nani mpumbavu. Unaulizwa kistaarabu unalipuka hivi akili zenu huwa mnaziacha nyie? Yan muda wote upo kishari shari tu walking contradictionMpumbavu kama Wewe kamwe huwezi Kunielewa hivyo nakushauri tu tulia uwasome wale 'geniuses' walionielewa Oky?
Na hata tu katika Mchango wa Pesa ya Kumsajili Sakho na Kanoute nae pia aliichangia Klabu yake Pendwa ya Simba SC.yussuf Bakhresa mwenyewe ni mwanachama wa simba sports club!
Wee jamaa toka uhamie Morogoro kutoka mkoa mojaaa hiivi wa Kanda ya ziwa umekuwa tofauti sana unaamini wewe unajua kila kitu, unaona mawazo wa wengine sio kitu sasa hapa tusi la nini sasa?Mpumbavu kama Wewe kamwe huwezi Kunielewa hivyo nakushauri tu tulia uwasome wale 'geniuses' walionielewa Oky?
Huwa nakuwa hivyo hasa pale tu nikikutana na Watu wenye Utindio wa Ubongo na Matahaira Tukuka kama Wewe hapa.Kwa comment yako hii nadhani hata wengine watajua nani mpumbavu. Unaulizwa kistaarabu unalipuka hivi akili zenu huwa mnaziacha nyie? Yan muda wote upo kishari shari tu walking contradiction
Tafsiri ya Neno 'Mpumbavu' ni Mtu asiye na Akili hivyo kama Kwako Wewe hilo ni Tusi nakuruhusu niripoti Kokote utakako.Wee jamaa toka uhamie Morogoro kutoka mkoa mojaaa hiivi wa Kanda ya ziwa umekuwa tofauti sana unaamini wewe unajua kila kitu, unaona mawazo wa wengine sio kitu sasa hapa tusi la nini sasa?
Au kisa hicho ki dedree cha SUA? Nakuona hata kwenye peji yako ya FB unayouza nguo (jezi) hutaki mawazo mapyaa
Note: mods sijatoa taarifa za mtu hapa waliohama kutoka kanda ya ziwa kwenda moro ni wengi pia wauza nguo FB ni wengi
Kuna Shoga Mmoja Sinza ana Jina kama lako hapa katika ID yako vipi ndiyo Wewe au ni 'Coincidence' tu ya Majina yenu?Hela za mwanaume mwenzako unazipangiaje kazi? Mpumbavu nini
Wewe ni nguruwe na hiyo degree unajidai sijui SAUT walikupaje napata mashaka na hiyo taasisi. Njoo Mzumbe uelimike uache kuwa bogus hivi. NIMEMALIZAHuwa nakuwa hivyo hasa pale tu nikikutana na Watu wenye Utindio wa Ubongo na Matahaira Tukuka kama Wewe hapa.
Njoo nikukaze ili ujue ni Mimi au siyo mimiKuna Shoga Mmoja Sinza ana Jina kama lako hapa katika ID yako vipi ndiyo Wewe au ni 'Coincidence' tu ya Majina yenu?
Safi sana mkuu,Amina Mkuu. Kabla ya huku ( huko ) Kukurupuka Kwake Tajiri Yusuf Bakhressa alitakiwa Kwanza afyagie 85% ya Watendaji wake wote pale Azam FC kwani hao ndiyo Siku zote wanamuangusha na wanaiangusha Azam FC ambao leo hii GENTAMYCINE nakiri hapa kuwa kama isingekuwa na Uyanga na Usimba ingekuwa Bingwa kila mwaka kwani ina vitu karibia vyote vya kuipa Mafanikio hayo ila Azam FC imekubali Uswahili ulioko Simba na Yanga utamalaki Kwao.