Neno langu kwa Tajiri Yusuf Bakhressa wa Azam FC

Neno langu kwa Tajiri Yusuf Bakhressa wa Azam FC

Amina Mkuu. Kabla ya huku ( huko ) Kukurupuka Kwake Tajiri Yusuf Bakhressa alitakiwa Kwanza afyagie 85% ya Watendaji wake wote pale Azam FC kwani hao ndiyo Siku zote wanamuangusha na wanaiangusha Azam FC ambao leo hii GENTAMYCINE nakiri hapa kuwa kama isingekuwa na Uyanga na Usimba ingekuwa Bingwa kila mwaka kwani ina vitu karibia vyote vya kuipa Mafanikio hayo ila Azam FC imekubali Uswahili ulioko Simba na Yanga utamalaki Kwao.
Bachlesa mwenyewe ni Simba damu lialia
 
Tafsiri ya Neno 'Mpumbavu' ni Mtu asiye na Akili hivyo kama Kwako Wewe hilo ni Tusi nakuruhusu niripoti Kokote utakako.

Halafu sina Degree ya SUA bali nina Degree ya SAUT na Masters ya SAUT na sasa najiandaa kuanza Doctorate yangu ambayo pia nitaisomee hapo hapo SAUT sawa? Huyu wa SUA nadhani atakuwa ni Basha wako na kuhusu Mimi kuwa Morogoro halikuhusu ila sitokuwepo tu hapa Morogoro bali pia nitaenda Arusha kisha Mwanza halafu naingia Nairobi naenda Kigali na namalizia Kampala Uganda.

Mpuuzi mkubwa Wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lol
 
Tafsiri ya Neno 'Mpumbavu' ni Mtu asiye na Akili hivyo kama Kwako Wewe hilo ni Tusi nakuruhusu niripoti Kokote utakako.

Halafu sina Degree ya SUA bali nina Degree ya SAUT na Masters ya SAUT na sasa najiandaa kuanza Doctorate yangu ambayo pia nitaisomee hapo hapo SAUT sawa? Huyu wa SUA nadhani atakuwa ni Basha wako na kuhusu Mimi kuwa Morogoro halikuhusu ila sitokuwepo tu hapa Morogoro bali pia nitaenda Arusha kisha Mwanza halafu naingia Nairobi naenda Kigali na namalizia Kampala Uganda.

Mpuuzi mkubwa Wewe.
Elimu yote hii inaishia kuandika nyuzi za simba jf na kupigwa ban,bora uje nikuajili kwenye gazeti letu tuwe tunakupatia laki 2 kila toleo
 
Page ya 23 hii badala ya kuchangia hoja watu wanaitana majina mabaya lakn naunga mkono hoja ya mtoa mada
 
Kwa comment yako hii nadhani hata wengine watajua nani mpumbavu. Unaulizwa kistaarabu unalipuka hivi akili zenu huwa mnaziacha nyie? Yan muda wote upo kishari shari tu walking contradiction

[emoji23][emoji23]
 
Elimu yote hii inaishia kuandika nyuzi za simba jf na kupigwa ban,bora uje nikuajili kwenye gazeti letu tuwe tunakupatia laki 2 kila toleo
Ninacholipwa kwa Kazi Maalum niliyonayo si inaniwezesha 'Kukuweka' Wewe bali na hata Mkeo na aliyekuleta Duniani Ok?
 
Page ya 23 hii badala ya kuchangia hoja watu wanaitana majina mabaya lakn naunga mkono hoja ya mtoa mada
Siku zote huwa nakubalika na naeleweka na wale 'Brainiacs' Wenzangu tu hapa JamiiForums ila Wapumbavu hunichukia.
 
Hahaha yan AZAM leo DERBY Yao ni GEITA,NAMUNGO Na MBEYA CITY..
 
Kwa hapa nyumbani Azam Fc naifananisha na Mamelod kiumri ikilinganishwa na team nyingine lakini pia kiuchumi (wamiliki ni vibopa), lakini sijui kwanini AZAM inafeli kulishika soka la Tanzania.

Mtu akija kuniambia kuwa Siasa za usimba&yanga ndo zinaharibu nitakubaliana nae, lakini mbona kule South kuna wakubwa wawili (Orlando&Kizer) na wanaishambulia sana Mamelod kwa kuiita small club lakini bado anawa- outshine vizuri tu?

**** shida sehemu, safari hii naona kaamua kufany usajili wa akili tofauti na zamani, ngoja tuone msimu ujao itakuwaje.
 
Back
Top Bottom