Neno langu kwa Tajiri Yusuf Bakhressa wa Azam FC

Bachlesa mwenyewe ni Simba damu lialia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lol
 
Elimu yote hii inaishia kuandika nyuzi za simba jf na kupigwa ban,bora uje nikuajili kwenye gazeti letu tuwe tunakupatia laki 2 kila toleo
 
Page ya 23 hii badala ya kuchangia hoja watu wanaitana majina mabaya lakn naunga mkono hoja ya mtoa mada
 
Kwa comment yako hii nadhani hata wengine watajua nani mpumbavu. Unaulizwa kistaarabu unalipuka hivi akili zenu huwa mnaziacha nyie? Yan muda wote upo kishari shari tu walking contradiction

[emoji23][emoji23]
 
Elimu yote hii inaishia kuandika nyuzi za simba jf na kupigwa ban,bora uje nikuajili kwenye gazeti letu tuwe tunakupatia laki 2 kila toleo
Ninacholipwa kwa Kazi Maalum niliyonayo si inaniwezesha 'Kukuweka' Wewe bali na hata Mkeo na aliyekuleta Duniani Ok?
 
Page ya 23 hii badala ya kuchangia hoja watu wanaitana majina mabaya lakn naunga mkono hoja ya mtoa mada
Siku zote huwa nakubalika na naeleweka na wale 'Brainiacs' Wenzangu tu hapa JamiiForums ila Wapumbavu hunichukia.
 
Hahaha yan AZAM leo DERBY Yao ni GEITA,NAMUNGO Na MBEYA CITY..
 
Kwa hapa nyumbani Azam Fc naifananisha na Mamelod kiumri ikilinganishwa na team nyingine lakini pia kiuchumi (wamiliki ni vibopa), lakini sijui kwanini AZAM inafeli kulishika soka la Tanzania.

Mtu akija kuniambia kuwa Siasa za usimba&yanga ndo zinaharibu nitakubaliana nae, lakini mbona kule South kuna wakubwa wawili (Orlando&Kizer) na wanaishambulia sana Mamelod kwa kuiita small club lakini bado anawa- outshine vizuri tu?

**** shida sehemu, safari hii naona kaamua kufany usajili wa akili tofauti na zamani, ngoja tuone msimu ujao itakuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…