Neno " lol " lina maana gani?

Neno " lol " lina maana gani?

Kinachonishangaza ni kwamba hapa JF tumejaa watu ambao tunajivunia lugha ya kiswahili kama lugha yetu ya taifa, lakini mata eti 'lol' ina maana sijui nini mara btw ina maana sijui baa ya tukunyema ina watoto mara sijui nini na nini.
Kwa nini tusiunde vifupi vyetu vya kiswahili? Kwa mfano: tuna neno 'kama kawa' = kama kawaida. Tuendeleze vifupi vingine vya kiswahili.
1.kuw = kwa ufahamu wako
2.nnt = nilikuwa natania tu
3.akk = asante kwa kunijulisha
4.us = umenichekesha sana
5. nk nk. Unda kifupi kizuri kitamu cha kiswahili tutakipenda tu.
Hayo ma btw, lmfao, lol, tuwaachie wenyewe!
 
kazi kwelikweli, hilo neno limeanzishwa na wanaume, wanawake wamekuja kulikuta facebook tu, usiogope kulitumia mkuu, lol!
btw, ni kifupisho tu hakina jinsia.

Good....naona mambo ya Linguistic Imperialism yanashika kasi kwa baadhi ya wadau...lol!
 
Kama wadau wengine walivyotafsiri "Loughing out loud" lakini ni neon la kizunguzungu zaidi haliendani na mazingira na muktadha wetu waswahili sema watu wengi wameingia kwenye kitu naweza kuita "Mkumbo" yaani kama fasheni kulitumia. Binafsi naona limekaa ki-kikekike zaidi!!
 
Kama wadau wengine walivyotafsiri "Loughing out loud" lakini ni neon la kizunguzungu zaidi haliendani na mazingira na muktadha wetu waswahili sema watu wengi wameingia kwenye kitu naweza kuita "Mkumbo" yaani kama fasheni kulitumia. Binafsi naona limekaa ki-kikekike zaidi!!

Language and Gender...
 
Wadau ... Tusaidiane hapa .. Neno "lol"

1. Lina maaana gani ?
2. Hutumika mazingira gani ?
3. Jinsia ipi hupaswa kutumia neno hilo.? Na akilitamka kwa jinsia ipi ?

Asanteni .


Lucifer Our Lord!
 
Kinachonishangaza ni kwamba hapa JF tumejaa watu ambao tunajivunia lugha ya kiswahili kama lugha yetu ya taifa, lakini mata eti 'lol' ina maana sijui nini mara btw ina maana sijui baa ya tukunyema ina watoto mara sijui nini na nini.
Kwa nini tusiunde vifupi vyetu vya kiswahili? Kwa mfano: tuna neno 'kama kawa' = kama kawaida. Tuendeleze vifupi vingine vya kiswahili.
1.kuw = kwa ufahamu wako
2.nnt = nilikuwa natania tu
3.akk = asante kwa kunijulisha
4.us = umenichekesha sana
5. nk nk. Unda kifupi kizuri kitamu cha kiswahili tutakipenda tu.
Hayo ma btw, lmfao, lol, tuwaachie wenyewe!

Too late mkuu.
 
LOL Laugh out loud
kiswahili; cheka kwa sauti kubwa
 
Kinachonishangaza ni kwamba hapa JF tumejaa watu ambao tunajivunia lugha ya kiswahili kama lugha yetu ya taifa, lakini mata eti 'lol' ina maana sijui nini mara btw ina maana sijui baa ya tukunyema ina watoto mara sijui nini na nini.
Kwa nini tusiunde vifupi vyetu vya kiswahili? Kwa mfano: tuna neno 'kama kawa' = kama kawaida. Tuendeleze vifupi vingine vya kiswahili.
1.kuw = kwa ufahamu wako
2.nnt = nilikuwa natania tu
3.akk = asante kwa kunijulisha
4.us = umenichekesha sana
5. nk nk. Unda kifupi kizuri kitamu cha kiswahili tutakipenda tu.
Hayo ma btw, lmfao, lol, tuwaachie wenyewe!

kwani mzee kuna shida gani ... mbona hujanyimwa na mtu kuweka unachotaka kukijua ... huu ni ukurasa huru .. ni ww tu mwenyewe uamua unachoona unahitaji kukijua ..
 
Sifa ya lugha ni lazima ivutie / iwe na mvuto.. na pia na pia liendane na mtumiaji wake.

Mfano Mzuri;
Mwanaume timamu huwezj sema '' Gaaash !!! " .

Nachukiaga ukute dume zima eti linasema "umependezaje" au "chezea mimi wewe" hii ni misemo ya kina dada haifai kuongelewa na wanaume.
 
Aah mi huwa nawasikia wanyakyusa wakisema "ndaga fyijo na Lol" labda umuulize baba @v.
 
Last edited by a moderator:
Kinachonishangaza ni kwamba hapa JF tumejaa watu ambao tunajivunia lugha ya kiswahili kama lugha yetu ya taifa, lakini mata eti 'lol' ina maana sijui nini mara btw ina maana sijui baa ya tukunyema ina watoto mara sijui nini na nini.
Kwa nini tusiunde vifupi vyetu vya kiswahili? Kwa mfano: tuna neno 'kama kawa' = kama kawaida. Tuendeleze vifupi vingine vya kiswahili.
1.kuw = kwa ufahamu wako
2.nnt = nilikuwa natania tu
3.akk = asante kwa kunijulisha
4.us = umenichekesha sana
5. nk nk


Hivyo vifupisho vya havitamkiki ...
Labda neno kama kawa ila hayo mengine hapana.
 
Back
Top Bottom