SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Kinachonishangaza ni kwamba hapa JF tumejaa watu ambao tunajivunia lugha ya kiswahili kama lugha yetu ya taifa, lakini mata eti 'lol' ina maana sijui nini mara btw ina maana sijui baa ya tukunyema ina watoto mara sijui nini na nini.
Kwa nini tusiunde vifupi vyetu vya kiswahili? Kwa mfano: tuna neno 'kama kawa' = kama kawaida. Tuendeleze vifupi vingine vya kiswahili.
1.kuw = kwa ufahamu wako
2.nnt = nilikuwa natania tu
3.akk = asante kwa kunijulisha
4.us = umenichekesha sana
5. nk nk. Unda kifupi kizuri kitamu cha kiswahili tutakipenda tu.
Hayo ma btw, lmfao, lol, tuwaachie wenyewe!
Kwa nini tusiunde vifupi vyetu vya kiswahili? Kwa mfano: tuna neno 'kama kawa' = kama kawaida. Tuendeleze vifupi vingine vya kiswahili.
1.kuw = kwa ufahamu wako
2.nnt = nilikuwa natania tu
3.akk = asante kwa kunijulisha
4.us = umenichekesha sana
5. nk nk. Unda kifupi kizuri kitamu cha kiswahili tutakipenda tu.
Hayo ma btw, lmfao, lol, tuwaachie wenyewe!