General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Huwa nakutana na maneno haya hasa kwa vijana wa bavicha wakiwajibu jamaa wanao tetea CCM au UVCCM.
Utasikia
" aya kapokee bukusaba zako kwa Nape"
"Wewe Lumumba bukusaba tuondolee upuuzi wako"
" Vijana wa Lumumba buku seven mpo kazini.
Wakongwe wa JF tusaidieni hili neno lilitoka wapi?
Na je ni kweli hulipwa 7000/=?
Utasikia
" aya kapokee bukusaba zako kwa Nape"
"Wewe Lumumba bukusaba tuondolee upuuzi wako"
" Vijana wa Lumumba buku seven mpo kazini.
Wakongwe wa JF tusaidieni hili neno lilitoka wapi?
Na je ni kweli hulipwa 7000/=?