Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,

Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,

Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 
Halafu wewe unaita mapinduzi haya matukufu haya ni machafuzi.
Mkuu amanij , sio mimi ndiye ninayaita Mapinduzi ya Zanzibar kuwa ni Matukufu, bali hill ndilo rasmi la Mapinduzi ya Zanzibar yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.
P
 
Wanabodi,

Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi kustahili kuitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar?!.

Nakiri kupandisha uzi huu, kufuatia mchango wa mwana jf huyu, Maalim
Mohamed Said kwenye uzi
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa .
kuhusiana na neno Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.


Nawaomba wajuvi wa mambo ya Zanzibar mtujuze, Jee Mapinduzi ya Zanzibar ni Mapinduzi Matukufu, au ni Mapinduzi tuu?!, kama ni Mapinduzi Matukufu, Jee Mapinduzi yele yana utukufu gani?!.

Na nikimsoma Maalim Mohamed Said, amesema kwa mujibu wa Imani ya Dini ya Kiislamu, "Utukufu ni wa Allah pekee!", Jee hili ni kweli kuwa Kiislam neno Utukufu hutumika kwa Allah pekee?!, Jee sasa hawa Waislamu tena Swala tano, tunaowasikia kila siku wakitoa utukufu kwa Mapinduzi, ina maana kila anayeyaita Mapinduzi Matukufu jee anatenda dhambi dhidi ya utukufu wa Allah pekee?!.

Pia kuna maneno Ikulu ni mahali patakatifu!, Bunge Tukufu, hadi Mtukufu rais...inawezekana wote hawa wana kufuru?.

Paskali
Ni upuuzi tu wa wenye mamlaka
 
Wanabodi,

Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi kustahili kuitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar?!.

Nakiri kupandisha uzi huu, kufuatia mchango wa mwana jf huyu, Maalim
Mohamed Said kwenye uzi
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa .
kuhusiana na neno Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.


Nawaomba wajuvi wa mambo ya Zanzibar mtujuze, Jee Mapinduzi ya Zanzibar ni Mapinduzi Matukufu, au ni Mapinduzi tuu?!, kama ni Mapinduzi Matukufu, Jee Mapinduzi yele yana utukufu gani?!.

Na nikimsoma Maalim Mohamed Said, amesema kwa mujibu wa Imani ya Dini ya Kiislamu, "Utukufu ni wa Allah pekee!", Jee hili ni kweli kuwa Kiislam neno Utukufu hutumika kwa Allah pekee?!, Jee sasa hawa Waislamu tena Swala tano, tunaowasikia kila siku wakitoa utukufu kwa Mapinduzi, ina maana kila anayeyaita Mapinduzi Matukufu jee anatenda dhambi dhidi ya utukufu wa Allah pekee?!.

Pia kuna maneno Ikulu ni mahali patakatifu!, Bunge Tukufu, hadi Mtukufu rais...inawezekana wote hawa wana kufuru?.

Paskali
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Kazi Iendelee!.

Paskali
Subiri Bado kidogo tu
 
Mapinduzi haramu yaliyomwaga damu za watu wasio na hatia. Kamwe hayawezi kuwa matukufu.
 
Wewe mambo ya Wazanzibari huwa yanakukereketa kwa nini hasa? Wamekufanya nini baya Wazanzibari? Mbona husemi kitu bunge au rais anapoitwa mtukufu, utukufu wao uko wapi?
 
....Hasaa. Kuna uchaguzi wa mwaka fulani ndugu Paskali (huyu wa humu JF), kupitia Mwajiri wake, ALIMTANGAZA mshindi "halali" wa uchaguzi huo. Walimtoa Baruu.
[emoji28][emoji28][emoji28] Binadamu huwa tunasahau haraka au tunajisahaulisha, pindi maslahi yanapokua hatarini.

Mfano mzuri tu, waangalie viongozi wengi, wwnapofariki wasifu wao unavosomwa... mpenda haki, anaetetea wanyonge, mkarimu, msema kweli, n.k n.k..... ila kiuhalisia wanajua zaidi kama hizo sifa wengine hawana hata chembe.
 
Wanabodi,

Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi kustahili kuitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar?!.

Paskali
Kwasasa huko visiwani kuna shamrashamra yakuadhimisha miaka 60 ya Mapinduzi.

Wazanzibar wenyewe huyaita “mapinduzi matukufu” je huwa wanamaanidha nini? Ni upi huo utukufu katika hayo Mapinduzi?

NB:
Fursa za Chattle zimehamia Visiwani
Karibu Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,
Nakutakia maandalizi mema ya maadhimisho ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
P
 
Wanabodi,

Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi kustahili kuitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar?!.

Nakiri kupandisha uzi huu, kufuatia mchango wa mwana jf huyu, Maalim
Mohamed Said kwenye uzi
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa .
kuhusiana na neno Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.

Nawaomba wajuvi wa mambo ya Zanzibar mtujuze, Jee Mapinduzi ya Zanzibar ni Mapinduzi Matukufu, au ni Mapinduzi tuu?!, kama ni Mapinduzi Matukufu, Jee Mapinduzi yele yana utukufu gani?!.

Na nikimsoma Maalim Mohamed Said, amesema kwa mujibu wa Imani ya Dini ya Kiislamu, "Utukufu ni wa Allah pekee!", Jee hili ni kweli kuwa Kiislam neno Utukufu hutumika kwa Allah pekee?!, Jee sasa hawa Waislamu tena Swala tano, tunaowasikia kila siku wakitoa utukufu kwa Mapinduzi, ina maana kila anayeyaita Mapinduzi Matukufu jee anatenda dhambi dhidi ya utukufu wa Allah pekee?!.

Pia kuna maneno Ikulu ni mahali patakatifu!, Bunge Tukufu, hadi Mtukufu rais...inawezekana wote hawa wana kufuru?.

Paskali
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.

Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"
View attachment 2077603
kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.

Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.

Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.

Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.

Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar,
View attachment 2077618
yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.

Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.

Pasco
Rejea za Mwandishi huyu kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  1. Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1
  2. Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,
  3. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Tarehe kama ya leo 11/01/1964 miaka 60 iliyopita, ndio Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika!. Alfajiri ya Tarehe 12 Januari, 1964 ilikuwa ni kutangazwa tuu!.

Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Paskali
 
Wanabodi,

Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi kustahili kuitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar?!.

Nakiri kupandisha uzi huu, kufuatia mchango wa mwana jf huyu, Maalim
Mohamed Said kwenye uzi
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa .
kuhusiana na neno Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.


Nawaomba wajuvi wa mambo ya Zanzibar mtujuze, Jee Mapinduzi ya Zanzibar ni Mapinduzi Matukufu, au ni Mapinduzi tuu?!, kama ni Mapinduzi Matukufu, Jee Mapinduzi yele yana utukufu gani?!.

Na nikimsoma Maalim Mohamed Said, amesema kwa mujibu wa Imani ya Dini ya Kiislamu, "Utukufu ni wa Allah pekee!", Jee hili ni kweli kuwa Kiislam neno Utukufu hutumika kwa Allah pekee?!, Jee sasa hawa Waislamu tena Swala tano, tunaowasikia kila siku wakitoa utukufu kwa Mapinduzi, ina maana kila anayeyaita Mapinduzi Matukufu jee anatenda dhambi dhidi ya utukufu wa Allah pekee?!.

Pia kuna maneno Ikulu ni mahali patakatifu!, Bunge Tukufu, hadi Mtukufu rais...inawezekana wote hawa wana kufuru?.

Paskali
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
 
Back
Top Bottom