Neno 'mavuzi' limetoka wapi?

Neno 'mavuzi' limetoka wapi?

Hivi hili neno limetoka wapi na kwa nini yameitwa hivyo?

Yana utofauti gani na nywele za kichwani, kama kunyoa zote zinanyoleka sasa kwa nini itofautishwe?
Kwenge kwapa zinaitwaje??
 
Hilo neno vuzi au mavuzi limetokea kwenye neno la kingereza ambalo ni *fuzz*

"Fuzz is a frizzy mass of hair or fibre."

Kwa kiswahili ni mkusanyiko wa nywele

Ndipo wabongo tukatohoa kupata neno vuzi au mavuzi
 
Back
Top Bottom