Neno 'mfumo dume' lisitumike vibaya kwa kuanza kuwabagaza wanaume na kutowapa heshima yao

Neno 'mfumo dume' lisitumike vibaya kwa kuanza kuwabagaza wanaume na kutowapa heshima yao

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Wadau hili neno mfumo dume kwa hapa Tanzania tunapaswa kulifuta haraka ,.tukiendelea kulichekea ni muda mchache imebaki wanaume tutaanza kuandamana kupinga mfume jike. Kwa Sasa inaonekana sisi wanaume ni majitu ya hovyo na makatili sana.

Hatupewi hata heshima ya asili tuliyopaswa kupewa,iwe kisiasa au kijamii Hali imekuwa mbaya .kwa sababu Kuna madawati mengi ya kumtetea mwanamke hata Kama ni yeye mkorofi ,nimesikia kinyang'anyiro Cha uspika huko

Sisi hatuingii bungeni naomba sana ndugu wabunge mtakaopiga kura msikubali mihimili yote mitatu ishikwe na wanawake tuleteeni spika mwanaume mtakuja kunishukuru
 
Hiki unachokifanya ndio mfumo dume wenyewe sasa,kwani shida iko wapi wanawake wakihimizana na kupigiana chapuo za uongozi??

Kwani nyie wanaume mmekatazwa kupigiana chapuo za kuwa viongozi?Roho inakuuma saana wanawake kushika madaraka eti??

Tangu tupate Uhuru wanaume wameongoza taifa hili kwa takribani miaka sitini sasa hatuwahi kusikia popote wanawake wakilalamika kuwa wanaoongoza ni wanaume tu.

Mama kushika Nchi mienzi kumi tu sasa povu kama lote,kama unaona wanawake wanafaidi saaana badili jinsia tu uwe mwanamke na ww ili upate nafasi za kisiasa.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hiki unachokifanya ndio mfumo dume wenyewe sasa,kwani shida iko wapi wanawake wakihimizana na kupigiana chapuo za uongozi?...
Kwani wee ni ke au me? mwanaume ni kiongozi by nature, ko msitake mtuige kila jambo. Ipo siku mtataka kutembea vifua wazi kisa na wanaume huwa wanatembea vifua wazi.

matokeo yake ni matiti yatamwagika kama nguo pwaaaaaaa huku yakining'inia.
 
Sawa gudume gwa mbegu!
1641921601530.png
 
Hiki unachokifanya ndio mfumo dume wenyewe sasa,kwani shida iko wapi wanawake wakihimizana na kupigiana chapuo za uongozi??

Kwani nyie wanaume mmekatazwa kupigiana chapuo za kuwa viongozi?Roho inakuuma saana wanawake kushika madaraka eti??

Tangu tupate Uhuru wanaume wameongoza taifa hili kwa takribani miaka sitini sasa hatuwahi kusikia popote wanawake wakilalamika kuwa wanaoongoza ni wanaume tu.

Mama kushika Nchi mienzi kumi tu sasa povu kama lote,kama unaona wanawake wanafaidi saaana badili jinsia tu uwe mwanamke na ww ili upate nafasi za kisiasa.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Sijajua umetumia ubongo gani kufikiri, ukweli ni kwamba nyinyi wanawake mnataka kuleta laana katika nchi ,mungu hakukuumba uje uwe kiongozi wangu by nature ,Ila tamaduni za wazungu na mikutano kipumbavu wa Beijing umetuharibia utamaduni wetu ,nakataa na ninaanza kampeni rasmi kushawishi wanaume wajitambue na wajua kuwa hata mwanamke awe msomi namna gani hawezi kunibadilisha jinsia kabisa umekuja mkuku kwa sababu unaonekana wewe ni miongoni mwa madume jike yasiyo na adabu kwa wanaume Tena wewe nahisi umeachika Mara nyingi sana
 
Sijajua umetumia ubongo gani kufikiri, ukweli ni kwamba nyinyi wanawake mnataka kuleta laana katika nchi ,mungu hakukuumba uje uwe kiongozi wangu by nature ,Ila tamaduni za wazungu na mikutano kipumbavu wa Beijing umetuharibia utamaduni wetu ,nakataa na ninaanza kampeni rasmi kushawishi wanaume wajitambue na wajua kuwa hata mwanamke awe msomi namna gani hawezi kunibadilisha jinsia kabisa umekuja mkuku kwa sababu unaonekana wewe ni miongoni mwa madume jike yasiyo na adabu kwa wanaume Tena wewe nahisi umeachika Mara nyingi sana
Badili jinsia tu mkuu uwe mwanamke ili upate fursa za uongozi..chuki na wivu vitakuua mkuu.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hiki unachokifanya ndio mfumo dume wenyewe sasa,kwani shida iko wapi wanawake wakihimizana na kupigiana chapuo za uongozi??

Kwani nyie wanaume mmekatazwa kupigiana chapuo za kuwa viongozi?Roho inakuuma saana wanawake kushika madaraka eti??

Tangu tupate Uhuru wanaume wameongoza taifa hili kwa takribani miaka sitini sasa hatuwahi kusikia popote wanawake wakilalamika kuwa wanaoongoza ni wanaume tu.

Mama kushika Nchi mienzi kumi tu sasa povu kama lote,kama unaona wanawake wanafaidi saaana badili jinsia tu uwe mwanamke na ww ili upate nafasi za kisiasa.

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Siyo tusi kweli hili, au mimi ndiye sielewi vizuri tamathali za lugha jamani?
 
Back
Top Bottom