Mkuu sio kwetu tu kuna jamaa yupo Kenya huko anasemaga waumini wewe fala kabisa mara mjinga pumbafu kwanini umesimama wakati mimi na hupiri alaaaaa!! Nganga huyo anatukana hatari na watu wana jaaa kanisani mwake balaa.Wajinga ni wengi sana kwenye hii nchi yetu
Cha kujiuliza nabii na silaha gani za maangamizi zinazohitaji ulinzi wa SWAT 😛 😛Eti SWAT, sidhani hata kama wanaijua maana yake sio mvaaji wala Nabii.
Nabii kavaa gloves kuficha sugu za mkorogo, anajiona mjaaaanja mwenyewe.
Sawa ila nae apunguze basi mikwala! ndio maana tuna mwafwatilia maana kila wiki lazima aibuke na jipya kwenye jamii 😀 😀
Noma sanaMkuu sio kwetu tu kuna jamaa yupo Kenya huko anasemaga waumini wewe fala kabisa mara mjinga pumbafu kwanini umesimama wakati mimi na hupiri alaaaaa!! Nganga huyo anatukana hatari na watu wana jaaa kanisani mwake balaa.
Nimeenda hapo,Eti SWAT, sidhani hata kama wanaijua maana yake sio mvaaji wala Nabii.
Nabii kavaa gloves kuficha sugu za mkorogo, anajiona mjaaaanja mwenyewe.
Kiboko ya wangaAnaitwa nan
Imani ina Nguvu Saana kuliko unavyodhani...Kuna watu wanaoenda kwa hawa watu, unashindwa kuelewa akili zao na mawazo yao yakoje na yanawaza nini. Ni wa kuwaonea huruma tu
KawakodishaHhahhaha analindwa na SWAT, amewatoa wapi hao SWAT
Inakuwaje hadi unafika kukikanyaga?Mimi huwa nafikiri kuna kakitu wakikanyaga pale mlangoni tu ufahamu wao unatetereka sio bure kabisaa.