Neno Moja kwa ndugu zetu wa Kenya kuelekea Kwenye Uchaguzi Mkuu

Neno Moja kwa ndugu zetu wa Kenya kuelekea Kwenye Uchaguzi Mkuu

Taratibu kaka, mimi ni Mtanzania ila naangalia haya mambo katika regional perspective. Instability kwenye nchi moja inaweza ikaleta matatizo kwenye nchi nyingine within the East Africa.

Mkuu acha tu ' Kinuke ' huko Kenya ili kupatikane ' Fursa ' zingine. au hujui kwamba Kufa Kufaana? Wewe si unadai ni ' Mchumi ' sasa unashindwaje tu kujua kwamba shida ya nchi jirani ikitumika vyema inaweza ikawa ni neema kwa nchi zingine? Mkuu vitu vingine ni common sense tu. Katika dunia hii ya Capitalism ' machafuko ' ya nchi fulani huwa ni faida kwa taifa au mataifa jirani katika kukuza Uchumi wao. Umeshajiuliza swali kwamba ni kwanini huko nyuma Rwanda ilikuwa inachochea machafuko ya nchini Congo DR? Hivi unajua kwamba ' Utajiri ' wa Rwanda uliongezeka ' maradufu ' kwa yale ' mapigano ' tu ya muda mfupi ya ' Waasi ' wa huko Congo DR? Hata Wakenya wenyewe siku wakisikia kwamba Tanzania ' Kimenuka ' nao watafurahi vile vile kwani kuna namna ambavyo nao ' watafaidika ' Kiuchumi japo hili linahitaji ' akili ' kubwa kulielewa / kuling'amua.
 
Mkuu acha tu ' Kinuke ' huko Kenya ili kupatikane ' Fursa ' zingine. au hujui kwamba Kufa Kufaana? Wewe si unadai ni ' Mchumi ' sasa unashindwaje tu kujua kwamba shida ya nchi jirani ikitumika vyema inaweza ikawa ni neema kwa nchi zingine? Mkuu vitu vingine ni common sense tu. Katika dunia hii ya Capitalism ' machafuko ' ya nchi fulani huwa ni faida kwa taifa au mataifa jirani katika kukuza Uchumi wao. Umeshajiuliza swali kwamba ni kwanini huko nyuma Rwanda ilikuwa inachochea machafuko ya nchini Congo DR? Hivi unajua kwamba ' Utajiri ' wa Rwanda uliongezeka ' maradufu ' kwa yale ' mapigano ' tu ya muda mfupi ya ' Waasi ' wa huko Congo DR? Hata Wakenya wenyewe siku wakisikia kwamba Tanzania ' Kimenuka ' nao watafurahi vile vile kwani kuna namna ambavyo nao ' watafaidika ' Kiuchumi japo hili linahitaji ' akili ' kubwa kulielewa / kuling'amua.
Uko sahihi mkuu, but that is capitalism on opportunistic point of view. I beg to differ with you, Tanzania is not Capitalist per se, we are pursuing market economy model with combined elements of socialism and capitalism, i still stand to be corrected. Most intriguing fact is that we have to build strong economy from within rather than depending on misfortunes of other nations. Mkuu tukijiingiza kwenye hiyo mentality tutakua madalali wa machafuko, tutaondoa ile dhana ya pan-africanism ambayo baba zetu Mwalimu Nyerere na Kwame Nkuruma waliipigania.
 
Uko sahihi mkuu, but that is capitalism on opportunistic point of view. I beg to differ with you, Tanzania is not Capitalist per se, we are pursuing market economy model with combined elements of socialism and capitalism, still i stand to be corrected. Most intriguing fact is that we have to build strong economy from within rather than depending on misfortunes of other nations. Mkuu tukijiingiza kwenye hiyo mentality tutakua madalali wa machafuko, tutaondoa ile dhana ya pan-africanism ambayo baba zetu Mwalimu Nyerere na Kwambe Nkuruma waliipigania.

Kuna kitu ambacho unapaswa kujua and I think you're missing a point somewhere. Ni kweli na nakubaliana nawe kwamba akina Hayati Nyerere na Nkurumah walisisitiza katika hiyo Pan-African ism yako lakini tambua kwamba hao Wawili waliliongelea hili wakiwa katika mazingira gani hasa ya Kimabadiliko ya Kiuchumi na Teknolojia. Hizo imani za Wazee wetu akina Nyerere na Nkurumah kwa jinsi mabadiliko makubwa yaliyopo sasa na jinsi ' Capitalism ' ilivyoingia na ' Wakubwa ' namaaisha Mataifa Tajiri akina Marekani na wenzake wanavyojitahidi ' kutulazimisha ' tukubaliane nao huku wakimiliki almost 85% ya Resouces zetu ama direct au indirect ni ngumu sana sisi kutokubaliana nao.

Waafrika tutakuwa na uwezo mpaka pale tu nchi zote zitakapoungana kupitia AU na kuhakikisha kwamba Uchumi wetu unaimarika, Raia wetu wanaelimika vya kutosha ili kuweza kuzisimamia ' Rasilimali ' zetu nyingi ambazo nina uhakika kama zikisimamiwa na kutumika vizuri Bara la Afrika linaweza likawa na mafanikio makubwa hata kuliko hayo mabara mengine. Waafrika wengi huko nyuma tulikimbuilia tu kuwafukuza ' Wakoloni ' na kutafuta Uhuru wetu ila kuna mambo mengi no ya kimsingi hatukuyazingatia na ndiyo maana hadi hivi sasa japo tunasema tumemaliza ' Ukoloni ' lakini bado ' Wazungu ' hao hao ' Wanatutawala ' kwa mfumo mwingine na bado ' Waafrika ' wengi kupitia ' Watawala ' wetu tumeingia tena katika ' trap ' yao na wamefanikiwa.

Capitalism haiepukiki Mkuu na ni dhana hii hii ya Capitalism ndiyo sasa inasababisha ' machafuko ' mengi sehemu mbalimbali ili wale ' Wajanja ' na ' Matajiri ' wazidi kuyatumia hayo ' machafuko ' hasa katika Kujijenga Kiuchumi. Umeshajiuliza ni kwanini Russia anayafurahi machafuko ya huko nchini Syria? Umeshajiuliza ni kwanini China anafurahia ( japo kwa kujificha ) mzozo wa Marekani na Korea ya Kaskazini?

Naomba nimalizie kwa kukuambia tu kwamba ukitaka ujue matatizo makubwa ya Waafrika na kwa jinsi gani Wakoloni w' walituweza ' na bado ' wanatuweza ' Waafrika tafuta Kitabu Kiitwacho KING LEOPOLD'S GHOST kilichoandikwa na Adam Hochschild kicha utaelewa kila kitu na kubwa zaidi ni wapi Waafrika tulikosea na ni kwanini hadi hivi leo tumefika hapa na kwanini hata tujitahidi vipi hatutoweza kufanikiwa.

Kila la kheri Mkuu.
 
Kuna kitu ambacho unapaswa kujua and I think you're missing a point somewhere. Ni kweli na nakubaliana nawe kwamba akina Hayati Nyerere na Nkurumah walisisitiza katika hiyo Pan-African ism yako lakini tambua kwamba hao Wawili waliliongelea hili wakiwa katika mazingira gani hasa ya Kimabadiliko ya Kiuchumi na Teknolojia. Hizo imani za Wazee wetu akina Nyerere na Nkurumah kwa jinsi mabadiliko makubwa yaliyopo sasa na jinsi ' Capitalism ' ilivyoingia na ' Wakubwa ' namaaisha Mataifa Tajiri akina Marekani na wenzake wanavyojitahidi ' kutulazimisha ' tukubaliane nao huku wakimiliki almost 85% ya Resouces zetu ama direct au indirect ni ngumu sana sisi kutokubaliana nao.

Waafrika tutakuwa na uwezo mpaka pale tu nchi zote zitakapoungana kupitia AU na kuhakikisha kwamba Uchumi wetu unaimarika, Raia wetu wanaelimika vya kutosha ili kuweza kuzisimamia ' Rasilimali ' zetu nyingi ambazo nina uhakika kama zikisimamiwa na kutumika vizuri Bara la Afrika linaweza likawa na mafanikio makubwa hata kuliko hayo mabara mengine. Waafrika wengi huko nyuma tulikimbuilia tu kuwafukuza ' Wakoloni ' na kutafuta Uhuru wetu ila kuna mambo mengi no ya kimsingi hatukuyazingatia na ndiyo maana hadi hivi sasa japo tunasema tumemaliza ' Ukoloni ' lakini bado ' Wazungu ' hao hao ' Wanatutawala ' kwa mfumo mwingine na bado ' Waafrika ' wengi kupitia ' Watawala ' wetu tumeingia tena katika ' trap ' yao na wamefanikiwa.

Capitalism haiepukiki Mkuu na ni dhana hii hii ya Capitalism ndiyo sasa inasababisha ' machafuko ' mengi sehemu mbalimbali ili wale ' Wajanja ' na ' Matajiri ' wazidi kuyatumia hayo ' machafuko ' hasa katika Kujijenga Kiuchumi. Umeshajiuliza ni kwanini Russia anayafurahi machafuko ya huko nchini Syria? Umeshajiuliza ni kwanini China anafurahia ( japo kwa kujificha ) mzozo wa Marekani na Korea ya Kaskazini?

Naomba nimalizie kwa kukuambia tu kwamba ukitaka ujue matatizo makubwa ya Waafrika na kwa jinsi gani Wakoloni w' walituweza ' na bado ' wanatuweza ' Waafrika tafuta Kitabu Kiitwacho KING LEOPOLD'S GHOST kilichoandikwa na Adam Hochschild kicha utaelewa kila kitu na kubwa zaidi ni wapi Waafrika tulikosea na ni kwanini hadi hivi leo tumefika hapa na kwanini hata tujitahidi vipi hatutoweza kufanikiwa.

Kila la kheri Mkuu.
Nashukuru sana Mkuu kwa upembuzi wako yakinifu, nimejifunza mengi kupitia huu ujumbe, inatia shime kupata madini kama haya. Tuko pamoja
 
Nashukuru sana Mkuu kwa upembuzi wako yakinifu, nimejifunza mengi kupitia huu ujumbe, inatia shime kupata madini kama haya. Tuko pamoja

Karibu sana Mkuu na tupo pamoja ila nakuomba jitahidi sana ukitafute hicho Kitabu na ukisome utajifunza na kugundua mengi sana ya kuhusu kwanini Wazungu walituweza hadi leo hii Waafrika tunahangaika na kupambana bila mafanikio makubwa kama waliyonayo hao waliokuwa ' Wakoloni ' wetu.
 
Karibu sana Mkuu na tupo pamoja ila nakuomba jitahidi sana ukitafute hicho Kitabu na ukisome utajifunza na kugundua mengi sana ya kuhusu kwanini Wazungu walituweza hadi leo hii Waafrika tunahangaika na kupambana bila mafanikio makubwa kama waliyonayo hao waliokuwa ' Wakoloni ' wetu.
Mkuu, kimekwishaingia kwenye bucket list, KING LEOPOLD'S GHOST item No 10, copy that.
 
GENTAMYCINE sahau kuhusu hizo sababu zako za kiuchumi na masuala mengine.

Njoo kwenye upande wa ubinadamu, hivi unafurahi kinuke kweli ila nchi jirani zifaidike kiuchumi n.k wakati roho za watu wasio na hatia zikiteketea?
 
Roho ya Ugomvi na machafuko yaepushiwe mbali, tunaufunika Uchaguzi huo kwa Damu ya Yesu Kristo, shetna hana nafasi katika uchaguzi huu. Wakachague kiongozi wasichague mtu. Amen
 
GENTAMYCINE sahau kuhusu hizo sababu zako za kiuchumi na masuala mengine.

Njoo kwenye upande wa ubinadamu, hivi unafurahi kinuke kweli ila nchi jirani zifaidike kiuchumi n.k wakati roho za watu wasio na hatia zikiteketea?

Kwani ' kinaponuka ' katika nchi zingine wenyewe huwa na ' roho ' za Fisi au Kenge? Wewe hujui kwamba Kifo cha Binadamu ni ' Soko ' au '' Fursa ' kwa wengine? Ukitaka kuliamini au kujua hili siku moja jaribu kuwatembelea wauza ' Majeneza ' kisha uone watakavyokuambia kwamba kwa sasa hivi ' Biashara ' yao inaenda vizuri mno kwakuwa Watu wengi wanakufa kutokana na Magonjwa mbalimbali na ambayo mengine yanatokana mfumo wa maisha ya Mtanzania kubadilika ( namaanisha Kukaza kwa Vyuma / hali ngumu ya maisha )

Hivi unadhani ' Vifo ' visingeongezeka kwa Kipindi hiki hao wauza ' Majeneza ' wangeishije au wangeendeshaje Biashara yao? Narudia tena kusema kwamba katika ' jicho ' la Kiimani Yes ni kweli ' machafuko ' si mazuri ila katika mustakabali mzima wa Kibiashara unaohanikizwa / kuchochewa na ' Ubepari ' mapigano huwa ni ' Fursa ' kwa wengine katika ' Kujiimarisha ' Kiuchumi.

Kama hutaelewa hapa basi hutoelewa tena hadi Kiama kiwadie!
 
Kwani ' kinaponuka ' katika nchi zingine wenyewe huwa na ' roho ' za Fisi au Kenge? Wewe hujui kwamba Kifo cha Binadamu ni ' Soko ' au '' Fursa ' kwa wengine? Ukitaka kuliamini au kujua hili siku moja jaribu kuwatembelea wauza ' Majeneza ' kisha uone watakavyokuambia kwamba kwa sasa hivi ' Biashara ' yao inaenda vizuri mno kwakuwa Watu wengi wanakufa kutokana na Magonjwa mbalimbali na ambayo mengine yanatokana mfumo wa maisha ya Mtanzania kubadilika ( namaanisha Kukaza kwa Vyuma / hali ngumu ya maisha )

Hivi unadhani ' Vifo ' visingeongezeka kwa Kipindi hiki hao wauza ' Majeneza ' wangeishije au wangeendeshaje Biashara yao? Narudia tena kusema kwamba katika ' jicho ' la Kiimani Yes ni kweli ' machafuko ' si mazuri ila katika mustakabali mzima wa Kibiashara unaohanikizwa / kuchochewa na ' Ubepari ' mapigano huwa ni ' Fursa ' kwa wengine katika ' Kujiimarisha ' Kiuchumi.

Kama hutaelewa hapa basi hutoelewa tena hadi Kiama kiwadie!
Kwahiyo wewe upo upande upi?

Kunufaika kutokana na vifo vya watu au upande wa kiimani?
 
Back
Top Bottom