umenena vyema mkuuTuwapongeze kwa kujua na kutumia karama zao kuendeleza uumbaji wa vitu duniani
Ni Waliotika wito na kutii tuu ndio wanaweza kuacha alama njema duniani. Maana wapo wanaoacha mabaya na wanaoacha mazuri
wanastahili heshima yapekeeAisee nawapongeza sana
faida ni nyingi kuliko hasaraNiwapuuzi kabisa wameleta ma vitu ya ajabu yeny hasara kedekede
hakika.Ni watu na nusu
ni zipi hizo agenda tupe dokezo mkuuWapambane na hali yao ya kiroho.....maana wana agenda tofauti kabisa na unachofikiria.
Tumia jicho la tatu kujua tafsiri halisi ya mambo kijana, vinginevyo utapotea.....ulimwengu una mambo yake huu.ni zipi hizo agenda tupe dokezo mkuu