Neno "Mwendazake" na upotoshaji wa kikanuni unaoendelea sasa

Neno "Mwendazake" na upotoshaji wa kikanuni unaoendelea sasa

LOGIC:

"Wanaomwita Magufuli MWENDAZAKE wanahatarisha amani."

1. Mtu akimuita Mwendazake, ni hali gani inatokea ya kuhatarisha amani?

2. Marehemu akisikia anaitwa Mwendazake anaibuka na kuleta tafrani nchini kiasi cha kuhatarika kwa amani?

3. Au wafuasi wa Mwendazake kama hawa Viongozi wa dini, wataanzisha tafrani ya kuvunja amani kama reaction ya kumtetea marehemu?

4. Au ukisema tu "Mwendazake" basi nchi inapata kisulisuli cha asili; vita, majanga na mapigano yanazuka automatically?

USHAURI; Viongozi wa Dini wasome shule kabla ya kuvaa nguo za heshima na misalaba shingoni.

Wanahusika kupotosha hata neno la kiswahili sanifu!
Kwani mwendazake yenyewe inasemaje?
 
Naona kuna kenge mlima wamevamia humu ndani,sijui kaja juzi eti nijitoe jf kwani we ndio uliniunganisha!?Pumbafu,halafu unaniliuliza umri,dogo jifunze kuongea na wakubwa.Kumiliki kismartphone si kigezo cha ukubwa boya we
 
"Mwendazake", ni neno la kiswahili sanifu kitumikacho maeneo ya Lamu, na Mombasa. Neno hili ni tafsiri ya neno la kiingereza " Deceased",likiwa na maana ya "aliyekufa", au marehemu.
Hakuna udhalilishaji wowote katika kutuma neno hili. Tujifunze kiswahili ndugu zangu, tutaonekana kuwa ni watu wa kushangza.
Hao ndio viongozi wa dini!!!akili ndogo kama vibaka
 
LOGIC:

"Wanaomwita Magufuli MWENDAZAKE wanahatarisha amani."

1. Mtu akimuita Mwendazake, ni hali gani inatokea ya kuhatarisha amani?

2. Marehemu akisikia anaitwa Mwendazake anaibuka na kuleta tafrani nchini kiasi cha kuhatarika kwa amani?

3. Au wafuasi wa Mwendazake kama hawa Viongozi wa dini, wataanzisha tafrani ya kuvunja amani kama reaction ya kumtetea marehemu?

4. Au ukisema tu "Mwendazake" basi nchi inapata kisulisuli cha asili; vita, majanga na mapigano yanazuka automatically?

USHAURI; Viongozi wa Dini wasome shule kabla ya kuvaa nguo za heshima na misalaba shingoni.

Wanahusika kupotosha hata neno la kiswahili sanifu!
Tuwasamehe tu kama wao wanavyotuombea msamaha kwa Mungu, mara nyingi hutokea wanadandia magari kwa mbele tena yakiwa kwenye kasi kubwa
 
Msitukana watumishi wa Mungu. waheshimuni watumishi wa Mungu kwani vitabu vinasema Mamlaka yao yanatoka kwa Mungu.
 
Nadhani shida ni mazoea tu, lakini likitumika kwa wote Nyerere, Karume, Osama na hata kwenye makaburi ya baba zenu, halitalalamikiwa tena!!!!
 
mtu timamu kichwani huwa hang'ang'anii jambo.

maana hakuna maslahi yeyote kwenye kutumia jina hilo.
 
LOGIC:

"Wanaomwita Magufuli MWENDAZAKE wanahatarisha amani."

1. Mtu akimuita Mwendazake, ni hali gani inatokea ya kuhatarisha amani?

2. Marehemu akisikia anaitwa Mwendazake anaibuka na kuleta tafrani nchini kiasi cha kuhatarika kwa amani?

3. Au wafuasi wa Mwendazake kama hawa Viongozi wa dini, wataanzisha tafrani ya kuvunja amani kama reaction ya kumtetea marehemu?

4. Au ukisema tu "Mwendazake" basi nchi inapata kisulisuli cha asili; vita, majanga na mapigano yanazuka automatically?

USHAURI; Viongozi wa Dini wasome shule kabla ya kuvaa nguo za heshima na misalaba shingoni.

Wanahusika kupotosha hata neno la kiswahili sanifu!
Kwa hiyo unamuabudu ?!! Pole sana.
 
Hilo neno lilianzishwa mwanasiasa mmoja machachari kama code tu kumuelezea hayati upande wa negative, ndio likakolea kama moto wa nyika, linatumika tu kama kihusishi code kwa hayati
 
Back
Top Bottom