Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Ukilemaa mkuu utandawazi unakupitia na wewe unaiga maana ni vitu ambavyo unaanza polepole kutokana na watu wengi kutumia hiyo lugha mwisho wa siku na wewe unaingia.Hivi hili nalo tutalaumu utandawazi kweli? Kwa wakati mwengine naona matumizi ya misamiati hii ni kusudi za mtu binafsi.
Ila kwa mbaali unakuta kuna umahili, mazingira na kujikweza ndani yake mpaka mtu anazungumza hivi. Kwa mfano mtu anapotamka "tangia" badala ya "tangu" ni dhahiri kuna kujibwetesha katika matumiz ya lunga na kukiuka kaida zake.