Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mno, mi nikiambiwa na mtu ambae simuelewi huwa namjibu ila nafsi inanisuta.Sema neno NAKUPENDA PIA limekaa kinafki sana.
Ndiyo,ila ukikolea wewe ndiyo utakuwa upande ulioukataaIla kama kuna ukweli flani hivi... Bora tu niendelee kubaki upande wa nakupenda pia kama alivyosema Mzee wa kupambania 😃😃😂
Hapana... Nakataa in Jesus name 😃😂😂Ndiyo,ila ukikolea wewe ndiyo utakuwa upande ulioukataa
Ni shidaYaan kikuda mno🤨
Nikifikia hatua hiyo mniue😃😂😂🙌.. sitaki kabisaaTulia tu dawa ikuingie,maji utaita mma🤒 🤣🤣🤣
😂😂Ni kujibu tu ili siku zisonge.Mno, mi nikiambiwa na mtu ambae simuelewi huwa namjibu ila nafsi inanisuta.
Nilishajisemea Mimi kuja kumpenda mtoto wa mtu Tena hapana😃😂.. Yeye akinipenda nitajibu nakupenda pia siku zinaenda😃Na tutakuua kweli,kwani sikuzinachelewa sasa?