Neno 'naumia' wakati wa tendo la ndoa

baba wara wasikidanga kwa maana wote walio kushauli naona hamna hata mmoja wetu mwenye upeo mkubwa wa mambo hayo ila.!? mambo hayo kweli ni yapo na yanawatokea wanawake wengi tu,nilisha wahi kuonaga kipindi kimoja cha love clinik au afya chek. dr ambaye aliyekuwa anfanya kipindi cku hiyo aligusia kitu hicho,kwa kumbu kumbu zangu alisema tatizo hilo hutokana na homon kivulugika katika mpangilio wake,kwahiyo humpelekea mwanamke hanapofanya sex husikia maumivu makali na kuto furahiya tendo...so huyo mpenzi wako anaumia kweli na wala sio swaga wala kutaka kukuibia,kama kweli bado wampenda na unamipango naye..! mimi nakushauli nenda humtafute dokta anayejua mambo hayo kama dokta izaki wa clouds tv na radio na wengineo wanaoyajua mambo hayo utapata msaada mkubwa kuliko kutuuliza sisi ambao hatuna ujuzi huo.........!! kwa mengine ni pm nikushauli..
 
Aisee leo kinababa kunani,afu malalamiko mengi ni ya kitandani

Kungekuwa na mahakama ya mapenzi...
 

Nakushauri kamuulize shemeji yetu atusaidie jibu!
 

Asante Omary, taku pm mkuu
 
Nendeni hosp atakuwa na matatizo ya tumbo la uzazi.
 
huyo kafundishika na kaelewa usimuache kaka hakika utajuta ukimuacha!!!
 
jamani sijamuona cantalisia hapa, kwanza habari zenu, huyu bint ni mjukuu wangu haswa, na alishawahi kuja na katatizo hako hako eti kwa nini chungu tamu na tamu chung, nikamwambia mjukuu wangu hapo sasa umekua, usijeahirisha penati refa akisha weka mbwembwe zake ndani ya 6 badala ya mpira kupigwa hatua 12 ukapigwa nje ya 18 ooh pira litapaa juu mjukuu wangu. toka hapo sikumuona tena akabaki oooh babu mkwirima wako anakusalimu ooh babu kesho siji ninashughulu kumbe looool mechi imefika daraja la kwanza. jamani nitafutieni mjukuu wangu mwambieni nimerudi toka zanzibar jana.
 
Halafu ikichomoka anairudisha tena anaendelea kulia naumia 😄😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…