Neno "tia" linatakiwa litumike wapi katika Kiswahili fasaha?

Neno "tia" linatakiwa litumike wapi katika Kiswahili fasaha?

Mtoa mada umesahau na kule visiwani neno "tia" wanalitumia hadi kwenye Daladala, konda akitaja kituo kama kuna abiria anashuka anasema "tia" au "weka", na siyo "shusha" kama ilivyozoeleka huku bara 😃😃
 
Zamani mimi nilikuwa najua neno tia linatumika bandarani tu(kutia nanga), baadaye nikaja kujua linatumika kama matusi pia, lakini kadri muda ulivyoenda nikaja kujua linatumika sana hasa na watu wa pwani katika mambo mengine mbambali mfano mapishi, "tia chumvi", "tia nazi", "tia mafuta" n.k

Siku za hivi karibuni nimeshangaa linatumika hadi na mashabiki kwenye mpira!, hivi majuzi nimesikia "toa Musonda, tia Pacome!"

Huu msamiati wa neno tia una maana gani hasa na unatakiwa utumike katika muktadha gani katika Kiswahili fasihi?
Aisee
 
Muktadha hubadilika kutokana na mazingira.
Ukiwa na mlimbwende chumbani mkiwa watupu ukaambiwa utie halafu ukatia chumvi basi utakuwa hamnazo.
 
Madhala ya Kulawitiwa ni makubwa Sana😂😂😂😂 Linda Mwanao na hakikisha nyumba yake ina fesi imara kama simba dangoteee
 
Ni gharama Sana kujifunza lugha Ghana ina chuo maalum 😂😂😂😂😂

Madhala ya Kulawitiwa ni makubwa Sana😂😂😂😂 Linda Mwanao na hakikisha nyumba yake ina fesi imara kama simba dangoteee
 
tia

(i) ingiza kitu ndani ya kitu kingine
(ii) fanya kitu kiwe na sifa fulani
 
Mtia nia kupitia chama cha ukombozi wa Tanzania Capo delgado.
 
Zamani mimi nilikuwa najua neno tia linatumika bandarani tu(kutia nanga), baadaye nikaja kujua linatumika kama matusi pia, lakini kadri muda ulivyoenda nikaja kujua linatumika sana hasa na watu wa pwani katika mambo mengine mbambali mfano mapishi, "tia chumvi", "tia nazi", "tia mafuta" n.k

Siku za hivi karibuni nimeshangaa linatumika hadi na mashabiki kwenye mpira!, hivi majuzi nimesikia "toa Musonda, tia Pacome!"

Huu msamiati wa neno tia una maana gani hasa na unatakiwa utumike katika muktadha gani katika Kiswahili fasihi?
unatumika pale unapotia kitu
 
Back
Top Bottom