Jumapili njema
Leo nimeamua kuja na hoja kidogo kama nilivyoandika hapo juu asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa hawalitendei haki hilo neno hasa mtandaoni, wamekuwa wakileta tafsiri isiyo sahihi kuhusu udhalilishaji wa wanawake. Nashindwa kujua, je hawajui kweli au la!
Mfano hivi karibuni Mlela alimuacha Ebitoke, cha ajabu celebrities wakike wakaja juu nakumshambulia Mlela eti anawadhalilisha wanawake, eti cos Mlela hawezi kukaa na mwanamke mmoja. Kwani wakati anawatongoza hao wanawake alitumia mabavu au vitisho ili hao wanawake wamkubalie?
Navyojua mimi udhalilishaji wa wanawake maana yake ni kuwafanyia wanawake vitendo viovu bila ridhaa yao; mfano, kubaka, kuwaingilia nyuma ya maumbile bila ridhaa, kumpiga, kuvujisha picha ya faragha bila ridhaa au yeye kujua n.k. Hii ndiyo maana halisi ya udhalilishaji wa wanawake na si vinginevyo.
NAWASILISHA HOJA
Leo nimeamua kuja na hoja kidogo kama nilivyoandika hapo juu asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa hawalitendei haki hilo neno hasa mtandaoni, wamekuwa wakileta tafsiri isiyo sahihi kuhusu udhalilishaji wa wanawake. Nashindwa kujua, je hawajui kweli au la!
Mfano hivi karibuni Mlela alimuacha Ebitoke, cha ajabu celebrities wakike wakaja juu nakumshambulia Mlela eti anawadhalilisha wanawake, eti cos Mlela hawezi kukaa na mwanamke mmoja. Kwani wakati anawatongoza hao wanawake alitumia mabavu au vitisho ili hao wanawake wamkubalie?
Navyojua mimi udhalilishaji wa wanawake maana yake ni kuwafanyia wanawake vitendo viovu bila ridhaa yao; mfano, kubaka, kuwaingilia nyuma ya maumbile bila ridhaa, kumpiga, kuvujisha picha ya faragha bila ridhaa au yeye kujua n.k. Hii ndiyo maana halisi ya udhalilishaji wa wanawake na si vinginevyo.
NAWASILISHA HOJA