Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Nepotism is the practice among those with power or influence of favouring relatives, friends, or associates, especially by giving them jobs.
Nepotism is the act of granting an advantage, privilege, or position to relatives or close friends in an occupation or field. These fields may include but are not limited to: business, politics, academia, entertainment, sports, religion, and other activities.
Hili jambo lilianza wakati wa utawala wa warumi, Papa aliweza kuwaingiza ndugu zake kuwa viongozi kwa lengo la kuendeleza koo zao. Lakini baadae jambo hili lilikuja kupigwa marufuku.
Katika nchi zetu za kiafrika jambo hili linaanza kushika mizizi. Tunaona kwenye siasa na kwenye uongozi sehemu kadha wa kadha ndugunization imeshika hatamu. Matokeo yake siyo mazuri sana.
Kwamfano:- Ukienda kwenye Company ya Vodacom utakuta wafanyakazi wengi ni wa jamii fulani. Wamepewa nyazifa kubwa kubwa.
Nenda kwenye bank utakuta hivyo hivyo.
Nepotism ni kansa kubwa sana katika maendeleo ya Taifa letu. Kwa sasa mambo haya yamekuwa wazi kabisa. Watoto wa viongozi ndio wanaoteuliwa kwenye nyazifa za ukuu wa wilaya, mikoa, DED na DAS. kama mtu hana uhusiano na kiongozi kupata nyazifa hizo sahau.
Nepotism imeenda sasa mpaka kwenye vyombo vya habari. Utakuta chombo fulani cha habari kinapendelea watu fulani tu.
Nepotism kwenye mpira wa miguu. Tazama viongozi wa clubs utaona Nepotism imekita mizizi.
Nepotism is the act of granting an advantage, privilege, or position to relatives or close friends in an occupation or field. These fields may include but are not limited to: business, politics, academia, entertainment, sports, religion, and other activities.
Hili jambo lilianza wakati wa utawala wa warumi, Papa aliweza kuwaingiza ndugu zake kuwa viongozi kwa lengo la kuendeleza koo zao. Lakini baadae jambo hili lilikuja kupigwa marufuku.
Katika nchi zetu za kiafrika jambo hili linaanza kushika mizizi. Tunaona kwenye siasa na kwenye uongozi sehemu kadha wa kadha ndugunization imeshika hatamu. Matokeo yake siyo mazuri sana.
Kwamfano:- Ukienda kwenye Company ya Vodacom utakuta wafanyakazi wengi ni wa jamii fulani. Wamepewa nyazifa kubwa kubwa.
Nenda kwenye bank utakuta hivyo hivyo.
Nepotism ni kansa kubwa sana katika maendeleo ya Taifa letu. Kwa sasa mambo haya yamekuwa wazi kabisa. Watoto wa viongozi ndio wanaoteuliwa kwenye nyazifa za ukuu wa wilaya, mikoa, DED na DAS. kama mtu hana uhusiano na kiongozi kupata nyazifa hizo sahau.
Nepotism imeenda sasa mpaka kwenye vyombo vya habari. Utakuta chombo fulani cha habari kinapendelea watu fulani tu.
Nepotism kwenye mpira wa miguu. Tazama viongozi wa clubs utaona Nepotism imekita mizizi.