Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji2956]Hata mashirika binafsi.
Tagizo hili bila kufanya mabadiliko kwa makusudi kabisa, hatulimalizi.
Inatakiwa taasisi za umma, kuanzia nyadhifa za juu mpaka chini watu wachanganywe kwa makusudi kabisa.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app