Nestory Bingwa, mganga tapeli aliewatapeli wasouth na kukimbilia Canada kuishi

Nestory Bingwa, mganga tapeli aliewatapeli wasouth na kukimbilia Canada kuishi

Mkuu hapa sijakuelewa nimekipata kinini sikitumii?

Nitakuja kukijutia kinini mkuu?

Mada mbona haihusiani na swala la kungoja mkuu... Ebu fafanua vizur ulichoandika.
Fursa hiyo umeipoteza, ningemng'ang'ania mpaka namimi nijue kutibu wajinga, hauoni akina Mwamposa wanavyotengeneza ndululu.
 
Sumbawanga walikuwepo watu kadha wa kadha walikuwa wanapiga hii issue walikuwa wanitwa Propesa..

Walikuwa wakizama south wanarudi vizuri sana. Though Wengi walikufa kwa namna ya ajabu.

Na wengi waliachana na hizo issue ila ziliwatoa sana.
 
Fursa hiyo umeipoteza, ningemng'ang'ania mpaka namimi nijue kutibu wajinga, hauoni akina Mwamposa wanavyotengeneza ndululu.
Umenifanya nicheke mpaka watu wananishangaa. Ni kweli mkuu, sema inataka ukauzu na roho ngumu because kifo nje nje 😂😂😂
 
Sumbawanga walikuwepo watu kadha wa kadha walikuwa wanapiga hii issue walikuwa wanitwa Propesa..

Walikuwa wakizama south wanarudi vizuri sana. Though Wengi walikufa kwa namna ya ajabu.

Na wengi waliachana na hizo issue ila ziliwatoa sana.
Kwa maana hiyo, nahisi alikuwa na rafiki yake wa Sumbawanga ambae alikwenda kumfundisha namna ya kupiga hela za wajinga, na yeye akazipiga kweli aisee.

Jamaa hawawezi kumsahau 🤣🤣🤣
 
Umenifanya nicheke mpaka watu wananishangaa. Ni kweli mkuu, sema inataka ukauzu na roho ngumu because kifo nje nje 😂😂😂
Ajali kazini, unapokwenda kuomba kazi jeshini lazima ujue askari ni chakula cha risasi, unauhakika mshahara wako utaupata mwisho wa mwezi kama utatoboa!
 
Mkuu kwa sasa bondeni madili gani bado yanalipa mpunga mrefu ? Sijali sana risk maana kubaki kwenye umaskini ni risk kubwa kuliko risk zote. Nataka ishu ambayo unapiga ela ya maana hata kama ni illegal.
Profession nnayo lakn ajira ni ajira tu ela za kudunduliza ya mshahara ya sijui laki 8 sijui milion 1 na hapana kwa kweli.haikidhi. better kuingia ground unapiga mission zako kadhaa unavuta mpunga wa maana unarudi home kuwekeza. Ukifa pia basi ijulikane umefia kwenye mapambano.
Mambo ya kutegemea viajira ivi vya kibongo vya laki 8. Million 1 hata m2 kwa sasa haitoshelezi.
ukiugua ugonjwa mkubwa zikahitajika million 40 uende india eti unakuwa hauna sio kabisa. Bora kufia kwenye utafutaji.
 
Back
Top Bottom