Nestory Irankunda mchezaji wa Tanzania anayeliliwa na Bayern Munich

Nestory Irankunda mchezaji wa Tanzania anayeliliwa na Bayern Munich

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
1700105616174.jpg


NESTORY IRANKUNDA, kutoka Wilayani Kasulu, Kigoma, Tanzania mpaka Australia ambapo leo anahitajika na Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani! Ndoto za Nestory Irankunda ni kuitumikia Tanzania kwa kuivaa jezi ya Taifa Stars.

Ni Mwanasoka ambaye ana uwezo na ubora wa kucheza timu ya taifa ya Tanzania, Nestory Irankunda alizaliwa na kulelewa kambi ya Wakimbizi pale mkoani Kigoma! Bahati mbaya sana kijana wetu hajaitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars, anaitumikia klabu ya Adelaide United ya nchini Australia.

Hii ni another talent kubwa mno mno inastahili sana kuiwakilisha bendera ya Tanzania.
 
View attachment 2815046

NESTORY IRANKUNDA, kutoka Wilayani Kasulu, Kigoma, Tanzania mpaka Australia ambapo leo anahitajika na Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani! Ndoto za Nestory Irankunda ni kuitumikia Tanzania kwa kuivaa jezi ya Taifa Stars.

Ni Mwanasoka ambaye ana uwezo na ubora wa kucheza timu ya taifa ya Tanzania, Nestory Irankunda alizaliwa na kulelewa kambi ya Wakimbizi pale mkoani Kigoma! Bahati mbaya sana kijana wetu hajaitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars, anaitumikia klabu ya Adelaide United ya nchini Australia.

Hii ni another talent kubwa mno mno inastahili sana kuiwakilisha bendera ya Tanzania.
Analilia Taifa Stars aacha Australia?? Utani huo.
 
Wazazi wake ndo wakimbizi.yeye kazaliwa Tanzania kwenye kambi ya wakimbizi.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Katiba ya nchi yako ni tofauti na ya Marekani.
US. Hata ukizalia kwenye ndege au meli iliyowekwa chata yao wewe ni Mmarekani bila kujali ilikuwa imepaki wapi mda huo.
Huyu kijana na wazazi wake hawakupewa uraia wa Tanzania.
Achana na ule uongo wa civics ya form one ya citizen by birth.
 
Back
Top Bottom