Netanyahu akimbia nyumbani kwake. Ahamia kwa rafiki yake kwenye handaki la nyuklia kuhofia usalama wake

Netanyahu akimbia nyumbani kwake. Ahamia kwa rafiki yake kwenye handaki la nyuklia kuhofia usalama wake

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na mke wake Sara wamehama kutoka makazi yao na kuhamia kwa rafiki yake na bilionea wa kimarekani, Simon Falic ambaye nyumbani kwake kuna handaki la kujilinda na nyuklia.

Maamuzi hayo ameyafanya kuhofia wananchi wake wenye hasira kwa jinsi alivyoitumbukiza nchi hiyo kwenye vita na namna anavyoendesha vita hivyo kwa sasa.

Wawili hao ambao hata kabla ya uvamizi wa Hamas walikuwa na kashfa nyingi za kifisadi kikawaida huwa wanaishi kwenye nyumba zao mbili za kifakhari kwa zamu, moja iliyopo Jerusalem na nyengine kwenye mji wa ufukweni wa Caesarea.

The Telegraph

Netanyahu and wife Sara decamp to luxury mansion amid growing public anger

 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Nadhani aliekuja ni Jonathan natanyahu aka Yona.
Sidhani kama Benjamin netanyah ualikuja.
Ila Niko tayari kwa kusahihishwa.
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Netanyahu hakuja Entebbe aliyekuja alikuwa ni Kaka yake anayeitwa Jonathan Netanyahu
 
Netanyahu hakuja Entebbe aliyekuja alikuwa ni Kaka yake anayeitwa Jonathan Netanyahu
sawa, asante kwa taarifa. na Yonathan Netanyau ndio aliongoza kikosi, akapigwa na mwanajeshi wa uganda aliyekuwa amekaa kwenye eneo la kuongozea ndege, hiyo ilikuwa baada ya yeye kumpiga risasi askari wa Uganda. case closed.
 
Waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu na mke wake,Sara wamehama kutoka makazi yao na kuhamia kwa rafiki yake na bilionea wa kimarekani,Simon Falic ambaye nyumbani kwake kuna handaki la kujilinda na nyuklia.
Maamuzi hayo ameyafanya kuhofia wananchi wake wenye hasira kwa jinsi alivyoitumbukiza nchi hiyo kwenye vita na namna anavyoendesha vita hivyo kwa sasa.
Wawili hao ambao hata kabla ya uvamizi wa Hamas walikuwa na kashfa nyingi za kifisadi kikawaida huwa wanaishi kwenye nyumba zao mbili za kifakhari kwa zamu, moja iliyopo Jerusalem na nyengine kwenye mji wa ufukweni wa Caesarea.
The Telegraph

Netanyahu and wife Sara decamp to luxury mansion amid growing public anger

Kwahiyo hapo Mtaa Wa Mamilla Kwake amehamia wapi hapo Jerusalem?

Kakimbilia King David House hapo karibu na USA Embassy?
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Aliyeuliwa ni kaka yake! Sema nashangaa wanashindwaje hapo Gaza na wakati walikuja Uganda wakachukia mateka wao kirahisi kabisa!
 
Aliyeuliwa ni kaka yake! Sema nashangaa wanashindwaje hapo Gaza na wakati walikuja Uganda wakachukia mateka wao kirahisi kabisa!
hapo Gaza ni pagumu kwasababu unaambiwa kuna mahandaki zaidi ya buku yenye kilometer kadhaa. sasa dawa pekee ya kuwauwa hamas ni kuzuia chakula, kile kilichopo kwenye mahandaki kikiisha hawana pa kutoka wakanunue kingine kwasababu nje kote kuna vifaru vya waisrael hakuna pa kutokea. shida inakuja sasa ndani kuna mateka waisrael, ukiwanyima chakula na ndugu zako wana sterve kwa njaa. ni operation ngumu sana na Hamas wanaifahamu zaidi Gaza kuliko israel wanavyoifahamu gaza.
 
hapo Gaza ni pagumu kwasababu unaambiwa kuna mahandaki zaidi ya buku yenye kilometer kadhaa. sasa dawa pekee ya kuwauwa hamas ni kuzuia chakula, kile kilichopo kwenye mahandaki kikiisha hawana pa kutoka wakanunue kingine kwasababu nje kote kuna vifaru vya waisrael hakuna pa kutokea. shida inakuja sasa ndani kuna mateka waisrael, ukiwanyima chakula na ndugu zako wana sterve kwa njaa. ni operation ngumu sana na Hamas wanaifahamu zaidi Gaza kuliko israel wanavyoifahamu gaza.
Hii movie sijui itaishaje, sema watu wanakufa sana aisee.
 
Aliyeuliwa ni kaka yake! Sema nashangaa wanashindwaje hapo Gaza na wakati walikuja Uganda wakachukia mateka wao kirahisi kabisa!
Haya magaidi yanatumia watoto na wanawake kama ngao Ndio Maana inakuwa ngumu,halafu Yanaua in the name of…
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Ngoja nikusahihishe kidogo, kiongozi wa makomandoo waliokuja kuokoa mateka waliotekwa na kuletwa nchini Uganda mwaka 1976 na aliyeuliwa na majeshi ya dikteta Idi Amin Colonel Yoni Netanyahu alikuwa ni kaka wa huyu waziri mkuu wa sasa wa Israel.

Sidhani kama huyu waziri mkuu wa sasa wa Israel Bw. Benjamin Netanyahu alikuwa miongoni mwa wale makomandoo wa Israel waliokuja Uganda.
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Kaaaah,
We jamaa ww🙌🙌
 
hapo Gaza ni pagumu kwasababu unaambiwa kuna mahandaki zaidi ya buku yenye kilometer kadhaa. sasa dawa pekee ya kuwauwa hamas ni kuzuia chakula, kile kilichopo kwenye mahandaki kikiisha hawana pa kutoka wakanunue kingine kwasababu nje kote kuna vifaru vya waisrael hakuna pa kutokea. shida inakuja sasa ndani kuna mateka waisrael, ukiwanyima chakula na ndugu zako wana sterve kwa njaa. ni operation ngumu sana na Hamas wanaifahamu zaidi Gaza kuliko israel wanavyoifahamu gaza.
Mahandaki yenye urefu wa 500km hivi nani anawafadhili hawa magaidi?
Huenda mengine yanatokea Israel ndani ndani
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Ni kweli ni Komandoo lakini kwenye Op.ya Entebe 1976 hakuwemo ila kaka yake Jonathan ambaye na yeye alikuwa Komandoo ndiye aliyeshiriki kwenye Op.hiyo! Aliuawa na sniper muda mfupi kabla operation haijakamilika.
Wakati huo Idd Amin hakujua kilichotokea ila aliamshwa na taarifa ya BBC asubuhi kuwa Israeli yakomboa mateka wote waliokuwa wametekwa na kufungiwa uwanja wa Entebe! Hasira yake iliishia kuua Wakenya!
 
Back
Top Bottom