Netanyahu alistahili kupigwa kofi kabisa na Trump kuliko alivyofokewa Zelensky

Netanyahu alistahili kupigwa kofi kabisa na Trump kuliko alivyofokewa Zelensky

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siasa za nje za Marekani na misimamo yao ni ya kibaguzi na kigeugeu cha hali ya juu.Rais Zelensky hakulijua hilo aliposhawishiwa afanye chokochoko kwenye mpaka wa Urusi.

Pamoja na ujinga aliokuwa nao Zelensky lakini kwa kumlinganisha na Benjamin Netanyahu basi yeye ni mtu mwema kidogo ulimlinganisha na Netanyahu.

Cha kushangaza Netanyahu alipoitembelea Marekani na kufanya mazungumzo na Trump mwezi uliopita ilikuwa ni furaha na kuungana mkono wao kwa wao.

Baada ya unyama mkubwa alioufanya Netanyahu kule Gaza na anaoendelea nao kwenye ukingo wa magharibi bado alipewa zaidi ya tiketi ya kufanya analotaka kwa Gaza na wapalestina huku mwenyewe Trump akipendekeza kulimiliki eneo la Gaza.

Iwapo ni hasara Ukraine iliyoitia Marekani kwenye vita vyake na Urusi basi Netanyahu amepokea misaada zaidi ya pesa na silaha ambazo zimeua watu bure na kuigeuza Gaza kifusi bila kuwapata mateka wa Israel na wala kuwang'oa Hamas.

Kama si ubaguzi wa Marekani na kigeugeu chake basi Netanyahu alipotembelea ikulu ya Marekani angepaswa kunaswa vibao kabisa na Trump kwa kushindwa kwake kufikia malengo japo amepokea misaada mikubwa ya Marekani.
 
Ikiwa Zelensky ambaye ni mzungu mwenzao kadhalilishwa vile, jiulize siku akiwekwa kati mtu mweusi patakuwa na hali gani. Nahisi hata viboko watamchapa.

Natamani sana iwe Kagame sehemu kama ile, na zile nyodo zake za kubetua mdomo. Sijui pangekuwa na hali gani.
 
Siasa za nje za Marekani na misimamo yao ni ya kibaguzi na kigeugeu cha hali ya juu.Rais Zelensky hakulijua hilo aliposhawishiwa afanye chokochoko kwenye mpaka wa Urusi.
Pamoja na ujinga aliokuwa nao Zelensky lakini kwa kumlinganisha na Benjamin Netanyahu basi yeye ni mtu mwema kidogo ulimlinganisha na Netanyahu.
Cha kushangaza Netanyahu alipoitembelea Marekani na kufanya mazungumzo na Trump mwezi uliopita ilikuwa ni furaha na kuungana mkono wao kwa wao.
Baada ya unyama mkubwa alioufanya Netanyahu kule Gaza na anaoendelea nao kwenye ukingo wa magharibi bado alipewa zaidi ya tiketi ya kufanya analotaka kwa Gaza na wapalestina huku mwenyewe Trump akipendekeza kulimiliki eneo la Gaza.
Iwapo ni hasara Ukraine iliyoitia Marekani kwenye vita vyake na Urusi basi Netanyahu amepokea misaada zaidi ya pesa na silaha ambazo zimeua watu bure na kuigeuza Gaza kifusi bila kuwapata mateka wa Israel na wala kuwang'oa Hamas.
Kama si ubaguzi wa Marekani na kigeugeu chake basi Netanyahu alipotembelea ikulu ya Marekani angepaswa kunaswa vibao kabisa na Trump kwa kushindwa kwake kufikia malengo japo amepokea misaada mikubwa ya Marekani.
Huna akili
 
Kwa myahudi ni tofauti sababu ile ni base Kubwa zaidi ya Marekani duniani
 
Ni myahudi lakini hatawali Israel.. Kwa upumbavu alionao ungekuta ndio waziri pale Israel lazima wangemuua au angeondolewa na Wayahudi wenyewe
kwani amefanya nini
 
Siasa za nje za Marekani na misimamo yao ni ya kibaguzi na kigeugeu cha hali ya juu.Rais Zelensky hakulijua hilo aliposhawishiwa afanye chokochoko kwenye mpaka wa Urusi.

Pamoja na ujinga aliokuwa nao Zelensky lakini kwa kumlinganisha na Benjamin Netanyahu basi yeye ni mtu mwema kidogo ulimlinganisha na Netanyahu.

Cha kushangaza Netanyahu alipoitembelea Marekani na kufanya mazungumzo na Trump mwezi uliopita ilikuwa ni furaha na kuungana mkono wao kwa wao.

Baada ya unyama mkubwa alioufanya Netanyahu kule Gaza na anaoendelea nao kwenye ukingo wa magharibi bado alipewa zaidi ya tiketi ya kufanya analotaka kwa Gaza na wapalestina huku mwenyewe Trump akipendekeza kulimiliki eneo la Gaza.

Iwapo ni hasara Ukraine iliyoitia Marekani kwenye vita vyake na Urusi basi Netanyahu amepokea misaada zaidi ya pesa na silaha ambazo zimeua watu bure na kuigeuza Gaza kifusi bila kuwapata mateka wa Israel na wala kuwang'oa Hamas.

Kama si ubaguzi wa Marekani na kigeugeu chake basi Netanyahu alipotembelea ikulu ya Marekani angepaswa kunaswa vibao kabisa na Trump kwa kushindwa kwake kufikia malengo japo amepokea misaada mikubwa ya Marekani.
Tatizo urusi ni dubwana kubwa sana na lenye nguvu kucheza nali ili kulivua majini kwa kutumia chambo na ndiano ni hatari kwa mvuvi na mashua yake ambayo ni marekani yenyewe
 
Siasa za nje za Marekani na misimamo yao ni ya kibaguzi na kigeugeu cha hali ya juu.Rais Zelensky hakulijua hilo aliposhawishiwa afanye chokochoko kwenye mpaka wa Urusi.

Pamoja na ujinga aliokuwa nao Zelensky lakini kwa kumlinganisha na Benjamin Netanyahu basi yeye ni mtu mwema kidogo ulimlinganisha na Netanyahu.

Cha kushangaza Netanyahu alipoitembelea Marekani na kufanya mazungumzo na Trump mwezi uliopita ilikuwa ni furaha na kuungana mkono wao kwa wao.

Baada ya unyama mkubwa alioufanya Netanyahu kule Gaza na anaoendelea nao kwenye ukingo wa magharibi bado alipewa zaidi ya tiketi ya kufanya analotaka kwa Gaza na wapalestina huku mwenyewe Trump akipendekeza kulimiliki eneo la Gaza.

Iwapo ni hasara Ukraine iliyoitia Marekani kwenye vita vyake na Urusi basi Netanyahu amepokea misaada zaidi ya pesa na silaha ambazo zimeua watu bure na kuigeuza Gaza kifusi bila kuwapata mateka wa Israel na wala kuwang'oa Hamas.

Kama si ubaguzi wa Marekani na kigeugeu chake basi Netanyahu alipotembelea ikulu ya Marekani angepaswa kunaswa vibao kabisa na Trump kwa kushindwa kwake kufikia malengo japo amepokea misaada mikubwa ya Marekani.
sijui hata umeandika utumbo Gani Kwa uchambuzi kama huu uliojaa unafiki na uwongo wakiitwa watu wenye akili utatoka Kwa kifupi tu nyie wafia dini mnaongozwa na hisia na mapenzi Kwa Urusi ukweli ni huu Putin anafanya ukoloni Kwa Ukraine lengo lake ni kuteka maeneo ya Ukraine mfano ni unafiki ulioungea hapo eti Zelesky alifanya uchokozi kwa mipaka ya urusi embu niambie urusi alipoiteka Crimea 2014 je Zelesky alikuwa madarakani au Ukraine ilitaka kujiunga na NATO ? na 2015 urusi ilipoisambazia silaha magenge ya waasi huko mashariki MWA Ukraine je Zelesky alikuwa madarakani?
 
Back
Top Bottom