Netanyahu alistahili kupigwa kofi kabisa na Trump kuliko alivyofokewa Zelensky

Netanyahu alistahili kupigwa kofi kabisa na Trump kuliko alivyofokewa Zelensky

Netanyahu hajafanya ukatili wowote alilinda watu wake thid ya watu walio kula kiapo kulifuta taifa lake. Benja alistahili kupokelewa kwa glas ya wine na kama ni tz tungempa na barabara ipewe jina lake ata sgr ya tabora mwanza tungeita Netanyahu sgr
 
Netanyahu hajafanya ukatili wowote alilinda watu wake thid ya watu walio kula kiapo kulifuta taifa lake. Benja alistahili kupokelewa kwa glas ya wine na kama ni tz tungempa na barabara ipewe jina lake ata sgr ya tabora mwanza tungeita Netanyahu sgr
Kati ya Palestina na Israel ni ipi ilitangulia.Hiyo nishani yako kwa mtazamo huo apewe Yahya Sinwar huko aliko.
 
Back
Top Bottom