Netanyahu asema japo tumepigwa na watu wanatupigia makelele lakini tutapigana tu

Netanyahu asema japo tumepigwa na watu wanatupigia makelele lakini tutapigana tu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siku zote vita vilivyozuka hata mitaani kwetu vikiaribia kuisha basi ngumi zinapungua na yule alaiyeshindwa hua anatoa maneno ya kuwaonesha watu kuwa yeye ndiye mshindi.Matokeo yake watu wanaona ugomvi umekwisha na kila mmoja anashika njia aende zake.

Maneno ya aina hiyo yametolewa na waziri mkuu wa Israel pamoja na waziri wake wa ulinzi,kwamba japokuwa wamepigwa na shambulia la kuvizia hapo jana na kuua askari wake kadhaa,lakini wamesema Israel itaendelea na vita mpaka mwisho.

Kauli hiyo imetolewa wakati raisi Biden na mshauri wake wa ulinzi wakitoa kauli za kuilaumu Israel katika vita hivyo kwa kuendelea kuua raia ovyo ndani ya Gaza.

Israeli defense minister says war on Hamas will last months as US envoy discusses timetable

 
Hivi hapo gaza tungepeleka TISS kwa miaka mitano ingeshindwa kuwatambua hamas. Ingeshindwa kutofautisha kati ya raia wa kawaida na wafuasi wa hamasi. Kisha tukapeleka tu JWTZ na smg tu pekee pangeendelea kubaki hamasi kweli. Hivi israel inafeli wapi. Miaka 75 inashindwa kitu kidogo tu na mosaid yao. Yani kaeneo kadogo kuliko kisiwa cha ukerewe jamani!!!
 
Hivi hapo gaza tungepeleka TISS kwa miaka mitano ingeshindwa kuwatambua hamas. Ingeshindwa kutofautisha kati ya raia wa kawaida na wafuasi wa hamasi. Kisha tukapeleka tu JWTZ na smg tu pekee pangeendelea kubaki hamasi kweli. Hivi israel inafeli wapi. Miaka 75 inashindwa kitu kidogo tu na mosaid yao. Yani kaeneo kadogo kuliko kisiwa cha ukerewe jamani!!!
Israhell ilikua overrated sana na mosadi na shinbet yao ila hawan lolote
Sio tiss hata ungenipeleka mie na washkaji wenzangu kadhaa tu hapo mwezi tu tungekua tushawajua hamas wote ama 99%
Ila israhell bure kabisa hawa wajinga wajinga
 
Hivi hapo gaza tungepeleka TISS kwa miaka mitano ingeshindwa kuwatambua hamas. Ingeshindwa kutofautisha kati ya raia wa kawaida na wafuasi wa hamasi. Kisha tukapeleka tu JWTZ na smg tu pekee pangeendelea kubaki hamasi kweli. Hivi israel inafeli wapi. Miaka 75 inashindwa kitu kidogo tu na mosaid yao. Yani kaeneo kadogo kuliko kisiwa cha ukerewe jamani!!!
Hv unajuwa wanamgambo 300 walitoka msumbiji wakaingia mtwara kijiji cha kitaya mwaka 2020 wakashika hiko kijiji kuanzia jion moja hadi alfajir yake na hao TISS na JWTZ wapo nchi hii , hawakuwez mshika hata mmoja
 
Israhell ilikua overrated sana na mosadi na shinbet yao ila hawan lolote
Sio tiss hata ungenipeleka mie na washkaji wenzangu kadhaa tu hapo mwezi tu tungekua tushawajua hamas wote ama 99%
Ila israhell bure kabisa hawa wajinga wajinga
Sw Israel wameanza jisalimisha sasa hv
 
Hivi hapo gaza tungepeleka TISS kwa miaka mitano ingeshindwa kuwatambua hamas. Ingeshindwa kutofautisha kati ya raia wa kawaida na wafuasi wa hamasi. Kisha tukapeleka tu JWTZ na smg tu pekee pangeendelea kubaki hamasi kweli. Hivi israel inafeli wapi. Miaka 75 inashindwa kitu kidogo tu na mosaid yao. Yani kaeneo kadogo kuliko kisiwa cha ukerewe jamani!!!
Wewe Kweli Mvuvi
 
Hv unajuwa wanamgambo 300 walitoka msumbiji wakaingia mtwara kijiji cha kitaya mwaka 2020 wakashika hiko kijiji kuanzia jion moja hadi alfajir yake na hao TISS na JWTZ wapo nchi hii , hawakuwez mshika hata mmoja
Hilo lilikuwa ni tukio la masaa. Hao wanamgambo hawawezi sumbua miezi mitano ndiyo maana mi nimeweka muda w miaka mitano huku wakifuatiliwa. Hao wanamgambo ningewaona wakari kama wangeshikilia hivyo vijiji kwa miaka 10 bila kudhibitiwa
 
Hv unajuwa wanamgambo 300 walitoka msumbiji wakaingia mtwara kijiji cha kitaya mwaka 2020 wakashika hiko kijiji kuanzia jion moja hadi alfajir yake na hao TISS na JWTZ wapo nchi hii , hawakuwez mshika hata mmoja
Una hakika Hadi Leo hawakushikwa?
 
Israhell ilikua overrated sana na mosadi na shinbet yao ila hawan lolote
Sio tiss hata ungenipeleka mie na washkaji wenzangu kadhaa tu hapo mwezi tu tungekua tushawajua hamas wote ama 99%
Ila israhell bure kabisa hawa wajinga wajinga
Hizo bangi zenu zitawaua, mkishavuta Bangee na milungi, ndo mnaanza kujadili ujinga kama huo
 
Siku zote vita vilivyozuka hata mitaani kwetu vikiaribia kuisha basi ngumi zinapungua na yule alaiyeshindwa hua anatoa maneno ya kuwaonesha watu kuwa yeye ndiye mshindi.Matokeo yake watu wanaona ugomvi umekwisha na kila mmoja anashika njia aende zake.
Maneno ya aina hiyo yametolewa na waziri mkuu wa Israel pamoja na waziri wake wa ulinzi,kwamba japokuwa wamepigwa na shambulia la kuvizia hapo jana na kuua askari wake kadhaa,lakini wamesema Israel itaendelea na vita mpaka mwisho.
Kauli hiyo imetolewa wakati raisi Biden na mshauri wake wa ulinzi wakitoa kauli za kuilaumu Israel katika vita hivyo kwa kuendelea kuua raia ovyo ndani ya Gaza.

Israeli defense minister says war on Hamas will last months as US envoy discusses timetable

Unamaanisha tiss hawa ambao kwa miaka kibao wameshindwa hata kumjua kigogo mmoja tu?

Hawa hawa ambao wana kadi za ccm?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Israhell ilikua overrated sana na mosadi na shinbet yao ila hawan lolote
Sio tiss hata ungenipeleka mie na washkaji wenzangu kadhaa tu hapo mwezi tu tungekua tushawajua hamas wote ama 99%
Ila israhell bure kabisa hawa wajinga wajinga
Inaonekana Hamas walifanya homework ya kufahamu uwezo wa Jeshi la Israel na Mossad kwa muda mrefu na kwa kusaidiwa na nchi ambayo ina uwezo mkubwa kijeshi. Bila support hiyo wasingefika hapo walipo.
 
Hilo lilikuwa ni tukio la masaa. Hao wanamgambo hawawezi sumbua miezi mitano ndiyo maana mi nimeweka muda w miaka mitano huku wakifuatiliwa. Hao wanamgambo ningewaona wakari kama wangeshikilia hivyo vijiji kwa miaka 10 bila kudhibitiwa
Masaa 10 ni muda ambao jeshi haliwez jiorganize ndan ya mipaka yake ? Acha kutetea ujinga mkuu , Israel walifanikiwa wafyeka wale wachache waliobakia kuonesha upinzan kwa idf ndan ya Israel , je nyiny mliweza , waliua kuchinja , na kuchoma nyumba za watu na kushoot hadi video kabisa , na kisha kuondoka na mateka mpk msumbiji , je mipaka yetu inalindwa kwel ? Unapozungumzia ugaidi ni jambo kubwa tofaut na unavyofikiri , kenya akifanya hivyo tutajua pa kuanzia ila makundi ya kigaidi ni ngumu sana kutmyakabili na mwishowe utaua raia tu
 
Kwa hiyo we unawaamini sana waisrael kushindwa kudhibiti kaeneo kadogo kulika kisiwa cha ukerewe huku wamekazunguka pande zote. Yaani hakana hata uwezo wa kununua lori mpya na wasiijue. Hakuna hata uwezo wa kupeleka gunia la ngano na walilijue harafu kanawasumbua
Unayaandika haya pind zaid ya watu million 1 wameikimbia Gaza kaskazini na mnavyodhidi kupiga kelele Idf wanasonga mbele kuwathibitishia kauli zenu , kinachowaponza waislam ni midomo , idf hawakutaka kuingia Gaza ila mkaanza washawishi kuwa wanaogopa , wakaona wawaoneshe tu kuwa wanaingia kuwadunda mashost zenu humo humo Gezaulole
 
Back
Top Bottom