Netanyahu asema japo tumepigwa na watu wanatupigia makelele lakini tutapigana tu

Netanyahu asema japo tumepigwa na watu wanatupigia makelele lakini tutapigana tu

Masaa 10 ni muda ambao jeshi haliwez jiorganize ndan ya mipaka yake ? Acha kutetea ujinga mkuu , Israel walifanikiwa wafyeka wale wachache waliobakia kuonesha upinzan kwa idf ndan ya Israel , je nyiny mliweza , waliua kuchinja , na kuchoma nyumba za watu na kushoot hadi video kabisa , na kisha kuondoka na mateka mpk msumbiji , je mipaka yetu inalindwa kwel ? Unapozungumzia ugaidi ni jambo kubwa tofaut na unavyofikiri , kenya akifanya hivyo tutajua pa kuanzia ila makundi ya kigaidi ni ngumu sana kutmyakabili na mwishowe utaua raia tu
Kitu ambacho hujanielewa nikuwa. Msumbiji ni nchi kubwa pia hatujaizunguka kwa pande zote. Gaza ni eneo dogo na wayahudi wamelizunguka pande zote. Yaani gaza hawawezi hata kununua basi jipya wayahudi wasijue. Pili magaidi ya msumbiji tulikuwa hatuna ubaya nao siku zote lakini wayahudi na gaza wanaubaya nao kwa miaka 75. Pia mimi sijaongelea tukio la october 7 pekee. Hilo ni shambulizi la kushitukizwa. Laweza fanywa kwa nchi yoyote je wafanyaji wataendelea kutoonekana wakiwa wamejificha kwenye kaeneo kadogo kuliko kisiwa cha ukerewe
 
Hivi hapo gaza tungepeleka TISS kwa miaka mitano ingeshindwa kuwatambua hamas. Ingeshindwa kutofautisha kati ya raia wa kawaida na wafuasi wa hamasi. Kisha tukapeleka tu JWTZ na smg tu pekee pangeendelea kubaki hamasi kweli. Hivi israel inafeli wapi. Miaka 75 inashindwa kitu kidogo tu na mosaid yao. Yani kaeneo kadogo kuliko kisiwa cha ukerewe jamani!!!
Kwa technology ipi 😊 napenda kuelewa level yako ya ELIMU??!!

Unakunywa uji unashiba unakuja ku comment hapa🤣🤣😂😂

Una jeshi la kupambana na HAMAS?? Vita vya kagera vilitutoa jasho mpaka Leo Kuna cost still zinatugharimu kama taifa...

Tofautisha panya roads na HAMAS🤓🤓
 
Unayaandika haya pind zaid ya watu million 1 wameikimbia Gaza kaskazini na mnavyodhidi kupiga kelele Idf wanasonga mbele kuwathibitishia kauli zenu , kinachowaponza waislam ni midomo , idf hawakutaka kuingia Gaza ila mkaanza washawishi kuwa wanaogopa , wakaona wawaoneshe tu kuwa wanaingia kuwadunda mashost zenu humo humo Gezaulole
Kwa mfumo wa siraha za marekani zilivyobora hata tukiwapa wanafunzi wa form four tanzania wanaweza kuihamisha hata uingereza. Kwa huo mfumo wa piga chochote popote huku ukiwa na siraha kubwa kuliko yoyote lazima utambe tu mjini. Kwa siraha walizonazo wayahudi juu ya gaza mi nawaona kama wamekuwa wazembe tukilinganisha na eneo la gaza lilivyo dogo
 
Kwa technology ipi [emoji4] napenda kuelewa level yako ya ELIMU??!!

Unakunywa uji unashiba unakuja ku comment hapa[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]

Una jeshi la kupambana na HAMAS?? Vita vya kagera vilitutoa jasho mpaka Leo Kuna cost still zinatugharimu kama taifa...

Tofautisha panya roads na HAMAS[emoji851][emoji851]
Kwanza gaza ni eneo dogo sana. Hata ukipeleka watu wasio na technology kubwa na uwezo mkubwa wa kielimu ila tu wakawemo kwa muda mrefu wanaweza kuwajua tofauti ya hamas na raia wa kawaida. Ukumbuke gaza nikama kisiwa ndani ya israel. Hata wakinunua lori mpya lazima israel walitambue ndo maana mpaka leo hawana hata kifaru kimoja. Maana hakuna pa kupitia. Tusiwatetee tukubari wayahudi ni wazembe. Eneo lile nidogo kulipeleleza halihitaji elimu na technology yoyote. Hata ukipeleka watu 50 tu kwa miaka mitano wanamaliza kazi
 
Kwa mfumo wa siraha za marekani zilivyobora hata tukiwapa wanafunzi wa form four tanzania wanaweza kuihamisha hata uingereza. Kwa huo mfumo wa piga chochote popote huku ukiwa na siraha kubwa kuliko yoyote lazima utambe tu mjini. Kwa siraha walizonazo wayahudi juu ya gaza mi nawaona kama wamekuwa wazembe tukilinganisha na eneo la gaza lilivyo dogo
Mkuu,
Vita vinasheria zake na ukizikiuka unaingia matatizoni..

Wangefanya ivyo unavyo fikiria sisimizi,mende,kunguni na Kila kiumbe kingeuwawa...

Vita visikie vita sio pool table au kucheza mchezo wa Draft au Bao
 
Back
Top Bottom