Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha! Hiyo ni bahati au mkosi!Akubarikie ntambariki. atake kulaani Nami nitamlaani. Unakumbuka Ile operation thunderbolt? KenyattaMzee aliwapa kila msaad waliohitajiWaliongeza mafuta ndege zao embakasi. Mara baada ya mission wagonjwa na majeruhi walipumzika kenyatta hospital kwa matibabu zaidi. Tangia hapo wakenya wamekua ndugu na wayahudi,ndugu kuliko ujuavyo wewe. Kwanini hiyo bahati haikupita kwetu?? Utanisaidia kujibu.
Ya geza ndio ya wazee??Comment hii ya kitoto
meza wembe, naona shindano kesha ipata sasa tulia dawa ikuingie!Ila Kenyatta ana iq ya kuku
Kwa walioko alive auNetanyahu, kiongozi wa nchi mwenye IQ kubwa kuliko wote duniani - utafiti.
KICHAA.Je unamfagilia huyu[emoji3] [emoji191] ?View attachment 640340
Akienda Tanzania sijui ataongea lugha gani na yule jamaa kule.TANZANIA ANAKWENDA LINI
Kuna mtu namfaham anaandikia kushoto ni kilaza wa kutupwaaJamaa kumbe anaandikia kushoto...ndo maana ana IQ kubwa kuliko karibia waarabu wote Middle East
Unampenda kwa msimamo wake au kwa vile left hand?Nampenda Netanyahu, mtu mwenye msimamo. Ameibariki Kenya.
Halafu ni mashoto kama Barack Obama.
Huyo atakuwa kenge kwenye msafara wa mamba! Mmoja kati ya miaKuna mtu namfaham anaandikia kushoto ni kilaza wa kutupwaa
mavi ya kukuNetanyahu, kiongozi wa nchi mwenye IQ kubwa kuliko wote duniani - utafiti.
Huyu angewezeshwa angekuwa mtu tofauti, mazingira ya kibongo bongo yanachangia... Ila wanaotumia letf wapo vizuri...Kuna mtu namfaham anaandikia kushoto ni kilaza wa kutupwaa
Dogo mbona povu linakutoka??? Najua ni ngumu kumezamavi ya kuku
Nikweli ila sifa moja za watu wenye IQ ya kuku uwa awana stress there a fan peopleIla Kenyatta ana iq ya kuku
Nikweli ila sifa moja za watu wenye IQ ya kuku uwa awana stress there a fan peopleIla Kenyatta ana iq ya kuku