Netanyahu awashutumu Waislamu kwa kumshawishi Adolf Hitler awaue Wayahudi

Netanyahu anatusogeza malangoni kwa vita kuu ya tatu
 
Iyo bachelor yako na iyo GPA yako umeipata kwa MAMILIONI YA FEDHA kama ungeipata kwa akili usingeshindwa kung'amua maswali ya kitoto SPOON FEEDER weeee...!!

Mliosoma mashule ya kununua UFAULU kwa mamilioni wengi wenu hamna Malinda ata wewe uwenda huna Malinda
 
Huyo Haj Amin al- Hussein ndio kawakilisha waislamu wote ?
 
Ishu ni kwamba Waislam na wakristo walishirikiana kuwauwa Jews ayo mambo ya siasa msipende kufungamanisha kila muda na dini
Uyo hitler alikua mkristo safi tu
 
Wayahudi feki wa kizungu wamepika propaganda za uongo nyingi na Sasa wanatafuta kila namna ya wao kukaa middle east ili kusaidiana na marekani kubadilisha tamaduni ya mashariki ya kati.
Sasa unafikiri kubadilisha middle east tamaduni marekani anawahitaji Israel ili fufikia malemgo...??
 
Huyu ni kama amechanganyikiwa
 
Sasa unafikiri kubadilisha middle east tamaduni marekani anawahitaji Israel ili fufikia malemgo...??
Hili ndilo marekani analotaka nasio tu kwamba anaitumia Israel pekee Bali mpaka Saudi Arabia, hapa ukiangalia jinsi crown prince Mohamed bin Salman na vision yake pamoja anavyoiongoza saudi Arabia, Aya njoo Kwa wayahudi feki WA kizungu na mambo ya ushoga,

Kama unakumbuka marekani na vita vya iraki unambiwa artifacts nyingi Sana zilibiwa iraq na marekani hapo anawacha watu wafikirie kafata mafuta tu, lakini marekani anataka kuharibu na kubadilisha tamaduni ya hapo middle east Ili kufanikisha ajenda ya New world order.
 

Too late nenda ukaone life la dubai,middle east walikua wajinga wengi kisa upuuzi wa dini,sasahivi eneo lote linakua westernized na hakuna wa kupinga,soon dubai na emirates wote watakua kama las vegas the sincity.
 
Too late nenda ukaone life la dubai,middle east walikua wajinga wengi kisa upuuzi wa dini,sasahivi eneo lote linakua westernized na hakuna wa kupinga,soon dubai na emirates wote watakua kama las vegas the sincity.
Hicho ndio nachokisemea kuwa lengo ni kubadili tamaduni ya hapo Hilo nilikua nalijua Toka zamani sana.
 
Wayahudi feki wa kizungu wamepika propaganda za uongo nyingi na Sasa wanatafuta kila namna ya wao kukaa middle east ili kusaidiana na marekani kubadilisha tamaduni ya mashariki ya kati.
Kama waarabu na wazungu walivyotuletea tamaduni zao. Kv dini,mavazi,lugha etc yaani wakaharibi identity ya mwafrika , Shenzhen type kabisa hao wazungu na waarabu. Leo hii mtt akiongea kiafrika mzazi hayuko proud Kama ambavyo akiongea English or Arabic language. Yaani mzazi anavimba kichwa anajua kabisa huyu akawa mwarabu ama mzungu
 
Wew nae ni mpumbavu sana, shida kubwa ya wabongo ni wivu wa kike, wew umevumbua niny! Hapa duniani!

Mnapenda kuwa attack watu Kwa matusi mkishindwa hoja. Mie Wala cjajisifia chochote kuhusu elimu ni huyo boya mwenzio form two failure, ndio kaingiza huu ujinga na Wala sio mwajiliwa Bali nafanya kazi zangu nyingine tofauti na nilichosomea.

Na ukinikurupukia kipumbavu hua ckai kimya.
 
Mkuu Wala Sina wivu. Nionyeshe Ni wapi Nina envy. Weka emotions pembeni tujadili. Kuna haha gani ya kujiongelea hapa kuwa unazo hizo elimu na tangiapo elimu ya bongo Ni claiming capacity inakupima. Kuna nchi ukionekana umekariri yaani umekopi majibu unakula ban.
Mie sijaona Mana ya kujisifia elimu Mana Ni ishu ya kawaida. Yaani ego one kudrive na ukaifuata. Akina Nikola Tesla watasemaje labda
 
Wee u
Wew unajielewa kweli au hujui kuwa medicine sio theory tu Hadi unafanya na practical procedure kabisa katika idara tofauti.

Sawa nakubali hilo kua elimu yetu ni mbovu, wew nije kwako ushavumbua nini! je, Unauhakika gany kama kina Albert Einstein, isaack newton na Nikola Tesla walifanya vumbuzi Kwa akili zao.

Ndio maana huwa nawadharau watu kama nyie mnao mezeshwa stori za uongo zilizopikwa nakuwafanya kuwa brainwashed, vip namie nikikwambia hizo vumbuzi zao zilikuepo miaka Mingi iliyopita kabla ya wao kuzaliwa napia kabla ya ujio WA YESU KRISTO si utanibishia.

Nyie ndio wale mnaomezeshwa matangopori kwamba binadamu ndio walijenga pyramid.

Ipo hivi binadamu hana na hajawai kuvumbua chochote Kwa akili zake na haya mambo ya sayansi na teknolojia yalikuepo tokea zamani hawo kina Albert Einstein isaack newton na Nikola Tesla wote walitumiwa tu kama chambo kutupumbaza sisi.

Sasa hivi maendeleo makubwa yote ya sayansi na teknolojia yanatokea pale Jimbo la Nevada la marekani area 51 hakuna Cha myahudi feki Wala nyani yeyote anayehusika hapo.
Hapa si utanibishia.

Mnakaa mkilalamikia watu kuwa wanameza tu theory bila kujua the real practical ya hizo theory wapo wachache ndio wanaojua tu. Hata mtu akae afanyeje hawezi kuvumbua chochote hata awe albino Wa kizungu hawezi na hatokaa haweze.
 
Nyuma kwako kupo wazi kama ya mbuzi. Yani unasema hajagundua binadamu kwa akili zake...🤔🤔 Sasa unataka kusema amegundua kwa akili za Nyani au mbuzi. AYO MASHULE YENU YA PRIVATE yanafanya muwe wavivu wa kufikiri mpaka mnafumuliwa Malinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…