Wee u
Wew unajielewa kweli au hujui kuwa medicine sio theory tu Hadi unafanya na practical procedure kabisa katika idara tofauti.
Sawa nakubali hilo kua elimu yetu ni mbovu, wew nije kwako ushavumbua nini! je, Unauhakika gany kama kina Albert Einstein, isaack newton na Nikola Tesla walifanya vumbuzi Kwa akili zao.
Ndio maana huwa nawadharau watu kama nyie mnao mezeshwa stori za uongo zilizopikwa nakuwafanya kuwa brainwashed, vip namie nikikwambia hizo vumbuzi zao zilikuepo miaka Mingi iliyopita kabla ya wao kuzaliwa napia kabla ya ujio WA YESU KRISTO si utanibishia.
Nyie ndio wale mnaomezeshwa matangopori kwamba binadamu ndio walijenga pyramid.
Ipo hivi binadamu hana na hajawai kuvumbua chochote Kwa akili zake na haya mambo ya sayansi na teknolojia yalikuepo tokea zamani hawo kina Albert Einstein isaack newton na Nikola Tesla wote walitumiwa tu kama chambo kutupumbaza sisi.
Sasa hivi maendeleo makubwa yote ya sayansi na teknolojia yanatokea pale Jimbo la Nevada la marekani area 51 hakuna Cha myahudi feki Wala nyani yeyote anayehusika hapo.
Hapa si utanibishia.
Mnakaa mkilalamikia watu kuwa wanameza tu theory bila kujua the real practical ya hizo theory wapo wachache ndio wanaojua tu. Hata mtu akae afanyeje hawezi kuvumbua chochote hata awe albino Wa kizungu hawezi na hatokaa haweze.