Netanyahu aweweseka wakati akiwadanganya wajumbe wa Congress

Hakuna kitu hapo naona mwandishi mihemuko. Huwexi zima moto kwa 80% kisha uache 20% unawaka useme eti uko salama. Israel yapaswa kuingia Rafah imalize kazi. Ni jukumu LA Jordan kufungua mipaka ili wanawake na watoto wakajihifadhi huko,wanaume waendelee kunyukana mpaka mtanange ueleweke!
 
Huku kichapo kikiendelea kutolewa kwa hamas na washirika wake
 
Anafanyiwa operesheni ya ngiri leo usiku kakabidhi madaraka kwa naibu wake mpaka atakapopona . Naona hali inazidi kuwa mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…