Netanyahu hajaonekana muda mrefu sasa.Tufani la Aqsa limemkumba au amekubali yaishe

Netanyahu hajaonekana muda mrefu sasa.Tufani la Aqsa limemkumba au amekubali yaishe

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa kadri ya uelewa wangu na ufuatiliaji wa matukio kule Gaza nimegundua kuwa yanayoendelea Gaza ni makubwa lakini yanatendeka kukiwa na upungufu wa mtu muhimu tangu mwanzo wa vita katika eneo hilo vilivyoanza mwezi oktoba mwaka 2023.

Mtu huyo ni waziri mkuu wa nchi hiyo hasimu kwa wapalestina,Benjamin Netanyahu ambaye kwa mara ya mwisho aliojitokeza hadharani tarehe nne mwezi huu ikiwa ni siku moja tangu afanyiwe operesheni ya tenzi dume.

Siku hiyo alijitokeza akipingana na ushauri wa daktari wake.Alishiriki kwenye kura muhimu ya kuonesha msimamo wake kutokana na matukio ya siku hizo.

Baada ya hapo alirudi hospitalini akiwa amechoka sana na baadae kutakiwa achukue mapumziko ya muda mrefu na asishiriki moja kwa moja kwenye mikiki ya kisiasa.

Alirudishwa kwenye handaki kuhofia kusikia miripuko ya makombora kutoka Yemen muda huo makubaliano na Hizbullah yalikuwa yakiendelea kutekelezwa.

Taarifa nyingi kutoka ofisi ya waziri mkuu zimekuwa zikimtaja waziri mwengine machachari aitwaye Smotrich.
 
Anasubiri kupokea mabomu toka kwa Trump, wanataka kujenga apartments Gaza,si unajua Trump ni real estate developer
 
Anasubiri kupokea mabomu toka kwa Trump, wanataka kujenga apartments Gaza,si unajua Trump ni real estate developer
Trump alishindwa na Kamala Harris kwenye mjadala.Hana kumbumbu nzuri
 
Mm nadhani Netanyahu kwasasa anawaogopa zaid ni jamaa wa family za IDF waliokufa GAZA kizembe zembe kufata amri yake!!!!!

baadae anakuja kukubali yaleyale alikataa mwanzo baada ya vifo kibao + walemavu + vipofu
Lkn uyu mwamba Smotrich uyu zaid ya Netanyahu mtata sana uyu.!!!!!!
 
Kwa kadri ya uelewa wangu na ufuatiliaji wa matukio kule Gaza nimegundua kuwa yanayoendelea Gaza ni makubwa lakini yanatendeka kukiwa na upungufu wa mtu muhimu tangu mwanzo wa vita katika eneo hilo vilivyoanza mwezi oktoba mwaka 2023.

Mtu huyo ni waziri mkuu wa nchi hiyo hasimu kwa wapalestina,Benjamin Netanyahu ambaye kwa mara ya mwisho aliojitokeza hadharani tarehe nne mwezi huu ikiwa ni siku moja tangu afanyiwe operesheni ya tenzi dume.

Siku hiyo alijitokeza akipingana na ushauri wa daktari wake.Alishiriki kwenye kura muhimu ya kuonesha msimamo wake kutokana na matukio ya siku hizo.

Baada ya hapo alirudi hospitalini akiwa amechoka sana na baadae kutakiwa achukue mapumziko ya muda mrefu na asishiriki moja kwa moja kwenye mikiki ya kisiasa.

Alirudishwa kwenye handaki kuhofia kusikia miripuko ya makombora kutoka Yemen muda huo makubaliano na Hizbullah yalikuwa yakiendelea kutekelezwa.

Taarifa nyingi kutoka ofisi ya waziri mkuu zimekuwa zikimtaja waziri mwengine machachari aitwaye Smotrich.
Kweli hatuoni zile mbwembwe tena. Ila atakumbukwa kama failed pm wa israel
 
Mm nadhani Netanyahu kwasasa anawaogopa zaid ni jamaa wa family za IDF waliokufa GAZA kizembe zembe kufata amri yake!!!!!

baadae anakuja kukubali yaleyale alikataa mwanzo baada ya vifo kibao + walemavu + vipofu
Lkn uyu mwamba Smotrich uyu zaid ya Netanyahu mtata sana uyu.!!!!!!
Yes familia za mateka waliokufa karibu ni lazima watakuwa na damu ya kulipa
 
Mm nadhani Netanyahu kwasasa anawaogopa zaid ni jamaa wa family za IDF waliokufa GAZA kizembe zembe kufata amri yake!!!!!

baadae anakuja kukubali yaleyale alikataa mwanzo baada ya vifo kibao + walemavu + vipofu
Lkn uyu mwamba Smotrich uyu zaid ya Netanyahu mtata sana uyu.!!!!!!
Ubabe ukiwa mwingi huondosha akili
 
Back
Top Bottom